Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,571
Nilizungumzia nyumba aliyokuwa anakaa Prof.Shaba na sio kilichokuwa kimeelezwa na thisday.
Hii issue imeingia hata kwenye cabinet kwani kuna me,mbers wa cabinet hawakubaliani nayo ila kwa nguvu za huyu mkoloni bado sijajua nini kinaendelea ndani kwa ndani hadi sasa ukizingatia ndio nimerudi jijini jana usiku.
Huyu mkoloni si ajabu anataka kumsogeza rais yule wa kwao karibu na ikulu yetu, kaeni macho .
Hii issue imeingia hata kwenye cabinet kwani kuna me,mbers wa cabinet hawakubaliani nayo ila kwa nguvu za huyu mkoloni bado sijajua nini kinaendelea ndani kwa ndani hadi sasa ukizingatia ndio nimerudi jijini jana usiku.
Huyu mkoloni si ajabu anataka kumsogeza rais yule wa kwao karibu na ikulu yetu, kaeni macho .