Is Lowassa again?

Nilizungumzia nyumba aliyokuwa anakaa Prof.Shaba na sio kilichokuwa kimeelezwa na thisday.

Hii issue imeingia hata kwenye cabinet kwani kuna me,mbers wa cabinet hawakubaliani nayo ila kwa nguvu za huyu mkoloni bado sijajua nini kinaendelea ndani kwa ndani hadi sasa ukizingatia ndio nimerudi jijini jana usiku.

Huyu mkoloni si ajabu anataka kumsogeza rais yule wa kwao karibu na ikulu yetu, kaeni macho .
 
Huyu mkoloni si ajabu anataka kumsogeza rais yule wa kwao karibu na ikulu yetu, kaeni macho .

Now you are talking...

mimi nimewaonya watu kuwa careful na huyu mwizi, mkwepa kodi, na mkoloni Rostam Azizi for a while now! ukifuatilia pesa zake na biashara zake, utaamini kabisa kuwa this guy ana ajenda.... bado ninafanya uchunguzi ila sitashangaa kufikia hiyo conclusion yako
 
Prime govt property sale saga takes new turn as: Private buyer now told to pay more

-From 440m/- to 1.85bn/-, in one cool twist


THISDAY REPORTER said:

Dar es Salaam

A PRIVATE developer who bought an expensive government property in downtown Dar es Salaam at a give-away price has now been told to pay an extra 1.4bn/- following revelations by THISDAY that the prime piece of land was sold for just 440m/-.

According to our sources, hushed communication has prevailed between the Presidential Parastatal Sector Reform Commission (PSRC) and the private company, El-Hillal Minerals (Tanzania) Limited, to raise the sale price to 1.85bn/-, which is the stated market value of the property determined by an evaluation report in May this year.

’’Things are being done quite secretly, but a decision has now been made by the powers-that-be in government to instruct the company proprietor Hillal Hamad Hillal to pay the extra 1.41bn/- for the plot,’’ a well-placed source told THISDAY.

’’The decision to tell Hillal to make the extra payment follows the reports published recently by THISDAY newspaper about the transaction,’’ the source added.

Under the new terms being hammered out, El-Hillal Minerals (Tanzania) Limited will now be obliged to pay a total of 1.85bn/- for outright purchase of the valuable government-owned property.

The government will therefore have no further claim on the land once the extra payment has been made by the private company headquartered in Shinyanga Region.

In the original sale agreement, El-Hillal Minerals and the PSRC agreed on a sale price of 440m/- for the property and an additional provision that would have given the government a five-year, rent-free access to one floor of office accommodation in a building that the company was planning to construct on the property.

According to our sources, some government officials are now arguing that the latest move to raise the sale price to 1.85bn/- is just another attempt to hide the fact that the deal was from the outset done contrary to existing government regulations, including a standing circular that effectively forbids the sale of state-owned property in the Dar es Salaam central business district to private buyers.

The circular states that all state-owned property in the Dar es Salaam CBD that may have been earmarked for sale, should be restored to government hands to help solve a crippling shortage of office accommodation for government ministries and departments.

It has been pointed out that at present, a number of sensitive government offices are being accommodated in rented space at Sukari House, Ubungo Plaza and various other privately-owned real estate developments because of the serious shortage of office accommodation.

According to our sources, the growing thinking within government circles is that the choice piece of land on plot number 162/38 at the junction of Mirambo Street and Samora Avenue should not have fallen in private hands from the beginning.

There have been suggestions that the sale agreement with El-Hillal Minerals should be revoked forthwith and the plot returned to government hands, to allow for the construction of at least one high-rise building to considerably solve the problem of office accommodation for government ministries and departments.

On the other hand, the PSRC has been in the spotlight for the controversial manner in which it oversaw the sale of the property without a formal tendering process or public auction - which are standard procedures for the sale of state-owned assets.

Both PSRC executive chairman Ally Karavina and spokesman Joseph Mapunda have recently declined comment when contacted by THISDAY to explain the circumstances behind the questionable deal.

Our investigations have already revealed that both the Ministry of Finance and the Ministry of Planning and Economic Empowerment (PSRC’s parent ministry) were initially opposed to the sale of the plot to El-Hillal Minerals Ltd.

The plot in a low density area, with a total size of around 2,942 square metres, is currently being used as a temporary parking lot for Bank of Tanzania (BoT) staff members in the city’s CBD.

According to the valuation report commissioned by the PSRC itself in May, each square metre of the property was valued at $457 (approx. 594,100/-) for the 1.85bn/- final figure. But the PSRC ended up selling each square metre for just 149,500/-, hence the 440m/-.

Moreover, real estate experts say even the stated valuation figure of 1.85bn/- was ’’overly conservative.’’

’’I know for a fact that several major banks and other private developers were targeting this particular property, and would have paid up to 4bn/- for the plot. The 1.85bn/- price tag is itself utterly ridiculous,’’ asserted one of our sources.


Source: ThisDay

Naona mafisadi wameanza kushituka baada ya moto wa akina Dr. Slaa. Huu moto ukiendelea na magazeti yakiendelea kupiga kelele, taratibu mambo yanaweza kubadilika maana hawa watu walikuwa wamezowea kujifanyia mambo yao kama wanavyopenda.
 
Ningekuwa mimi Hilal ningekataa.. "mkataba ushasainiwa, unless wako tayari kupitia mikataba yote ya real estate".. Kuiweka hiyo bei katika perspective... mchango wa mgodi wa Buzwagi kwa makato mbalimbali (ukiondoa kodi ya mrabaha) ni kama Shilingi milioni 600 hivi.. (nusu bilioni).. lakini kiwanja kimoja kinataka kuuzwa kwa bilioni mona na ushee ..
 
Naona mafisadi wameanza kushituka baada ya moto wa akina Dr. Slaa. Huu moto ukiendelea na magazeti yakiendelea kupiga kelele, taratibu mambo yanaweza kubadilika maana hawa watu walikuwa wamezowea kujifanyia mambo yao kama wanavyopenda.

Haiwezekani kilicho chetu kiwe chao na chao kiwe chao tu, wapi na wapi?


Ningekuwa mimi Hilal ningekataa.. "mkataba ushasainiwa, unless wako tayari kupitia mikataba yote ya real estate".. Kuiweka hiyo bei katika perspective... mchango wa mgodi wa Buzwagi kwa makato mbalimbali (ukiondoa kodi ya mrabaha) ni kama Shilingi milioni 600 hivi.. (nusu bilioni).. lakini kiwanja kimoja kinataka kuuzwa kwa bilioni mona na ushee ...........

Good points Mwanakijiji huwezi leo hii ukauza plot kwa billions na kusema mgodi ni chini ya billion hawa jamaa lazima washughulikiwe tena kisawasawa.
 
Vizuri wamepandisha bei ila bado mchakato mzima katika uuzaji wa kiwanja hicho inabidi uangaliwe, je ulikiuka taratibu zilizopo kama tuhuma zinavyodai?
 
Jamani Lowassa tena yumo humu?

Controversial government property sale: Buyer now gets tough conditions

THISDAY REPORTER
Dar es Salaam

IT has now emerged that the private company that acquired a prime piece of government land for a ridiculously cheap price earlier this year has now been given stringent new conditions to fulfil before the transaction is finally concluded.

According to THISDAY’s latest findings, apart from being told to pay an extra 1.41bn/- to match the final purchase price with the property’s stated true value (1.85bn/-), El-Hillal Minerals (Tanzania) Limited will now also need to produce documentary proof of its stated intentions in the deal.

The issue at hand is the controversial sale of the plot, number 162/38 at the junction of Mirambo Street and Samora Avenue in Dar es Salaam’s central business district, to El-Hillal Minerals despite opposition from at least two key government ministries.

It has been established that sometime last year, Prime Minister Edward Lowassa had an audience with El-Hillal Minerals proprietor Hillal Hamad Hillal, and afterwards directed the Presidential Parastatal Sector Reform Commission (PSRC) to ’’assist’’ Hillal as per existing laws and regulations after his previous attempts to buy the plot had come to nought.
Sources familiar with the deal say Lowassa’s instructions to PSRC executive chairman Ali Karavina were sent in writing through the PM’s private secretary, B. Olekuyan, in August last year.

The letter from the Prime Minister’s Office (PMO) says in part: ’’Mr Hillal came to see the honourable prime minister so that the government may assist him to acquire a plot for the construction of a building to house a bank and a diamond cutting centre. In the discussions with the Hon. prime minister, he (Hillal) explained that he was ready to pay for the costs of the plot that will enable him put up his investment.’’

It concludes by saying: ’’The Hon. prime minister has instructed that you should receive Mr Hillal and listen to him, and see how the PSRC can assist him based on existing laws and regulations.’’

It is understood that both the Ministry of Finance and the Ministry of Planning and Economic Empowerment (PSRC’s parent ministry) were initially opposed to the sale of the plot to El-Hillal Minerals (Tanzania) Limited.

According to the sources, the transaction was finally concluded in May this year with El-Hillal Minerals acquiring the plot for 440m/-, which it turned out was less than a quarter of its actual market value.

A valuation report commissioned by the PSRC itself a few weeks before the sale had put the market value of the property at 1.85bn/-.

Speaking in defence of the deal, various government sources contacted by THISDAY have argued that it would have long-term benefits to the economy, given the private developer’s plans to construct a 12-storey building and establish an international diamond auction on the plot.

’’An international diamond market like the one being planned should ultimately boost our economy and attract more foreign investors,’’ said a senior government official on condition of not being named.

The documentary proof that El-Hillal Minerals has now been asked to produce includes an agreement or any written contract between the company and an international bank to set up a country branch office within the envisaged building once built.

The company is also required to provide proof that it has ordered the necessary equipment for the proposed international diamond market. According to a reliable government source, ’’should the company fail to produce such proof by the end of this month (December), the government reserves the right to repossess the plot.’’

It has also been verified that the ownership of the plot in question is still under the long-defunct National Food and Agriculture Corporation (NAFCO), and no transfer of ownership has ever been made.

After the state-run NAFCO was wound up, the property was returned to the government through the Treasury registry in the Ministry of Finance, and ended up in the PSRC’s hands.

There have been allegations of improprieties in the sale of the plot, said to have been carried out without a formal tendering process or public auction - both of which are standard procedures for the sale of state-owned assets.
 
This is Lowassa Bwana, what goes around comes around.

Nchi hii itauzwa na kumaliziwa kwa kipindi hiki cha miaka mitano ya JK na mwenzake Lowassa , sasa hapa watu wanasema JK anapotoshwa ,asimamie walau hili ili kuweza kunusuru ardhi yetu basi .

Kibaya zaidi ni kuwa jamaa anauziwa kwa bei ya kununua kiwanja goba , ama nyingine zimeingia kwenye account ya mzee Lowassa .

Hapa kesho usishangae unamsikia Nguba mwandishi wa Lowassa anajitokeza na kusema kuwa hata JK alikuwemo kwenye dili kama alivyosema wakati wa Buzwagi na kulala Churchil Hotel.
 
deals mbove alizozisimamia Lowassa; na ambazo zimeigharimu nchi hii pesa nyingi: (hizi ni zile zinazojulikana tu hadi sasa)

Aliinfluence tenda ya Richmonduli

Kukabidhi DAWASA kuendeshwa na kampununi ya kigeni na hatimaye tukajitoa ktk mkataba huo - at agreat cost i beileve.

Haya na sasa hata kuuza viwanja vya nchi - yumo !!

Damn! Do we really need such a person as our leader!! Kazi yake madili ya kula kula tuu. sasa nimeanza kuelewa maana halisi ya nguvu na kasi mpya!!
 
Jamani Lowassa tena yumo humu?

Mie nashangaa! sioni tatizo hapa, jee tatizo ni nini? ni Hemed kumuona Lowasa? au Lowasa kuwaandikia psrc? na nnadhani Lowasa ameweka wazi kabisa kuwa sheria zifuatwe. Bado nnashangaa tatizo ni nini?

Sidhani kwa wale wanaosema kuwa awamu hii itaimaliza nchi walikuwepo wakati awamu ya kwanza inang'atuka, kwa kuwakumbusha tuu, hakuna awamu iliiwaacha nchi hii kavu na kwenye umaskini mkubwa kama awamu ya kwanza, awamu ya msifiwa nyerere.

NYERERE alivyong'atuka, benki kuu iliwashwa moto na kaikubakishwa hata dola moja ya kufutia machozi, Jee mnakumbuka? NYERERE alivyong'atuka,tulikuwa hata mafuta ya kwenye gari hatuna kwa kuwa tulikuwa hatuna fedha za nje za kununulia, kumbuka mzee ruksa alivyochukuwa nchi aliwaita wazee wa dar pale diamond akawaelezea kuhusu hili na ikambidi atumie mbinu za haraka za kwenda kuomba libya na imf na iran na kwingineko (hotuba ya mikuki miwili, mzee ruksa diamond.

Yaani hatukumbuki tulivyokuwa tunapangishwa foleni za unga, mchele, sukari, sabuni,viwembe, viberiti. KWA KIFUPI HATA WEMBE WA KUNYOLEA ilIkuwa hakuna BILA FOLENI

Nadhani wengi mnaoandika humu kusemasema hovyo, kama hii mada ya Lowasa, hata sijui tatizo nini? Nadhani wakati wa nyerere mlikuwa hampo au kwa waliokuwepo na wanachangia habari hizi zisizo na mantiki, basi ni wafupi wa kumbukumbu.

Sasa jamani mbona yeye (nyerere) hatumsemi alivyotuwacha pabaya kiuchumi! tunamsifu tuu?

Hebu waacheni hawa kina lowasa na kikwete wafanye vitu vyao, JEE, kwa ukweli wenu kabisa hamuoni kazi wanayoifanya? au ni chuki tuu za kibinafsi?
 
Sasa Wewe Zomba unapotaka kuturudisha nyuma unataka tujifunze nini?usitete upumbavu huo..watu tuna asila hapa
 
sioni tatizo hapo kwa EL,amesema waziwazi msaidieni katika sheria zilizopo....tuache majungu wakati mwingine.
 
Mie nashangaa! sioni tatizo hapa, jee tatizo ni nini? ni Hemed kumuona Lowasa? au Lowasa kuwaandikia psrc? na nnadhani Lowasa ameweka wazi kabisa kuwa sheria zifuatwe. Bado nnashangaa tatizo ni nini?

Sidhani kwa wale wanaosema kuwa awamu hii itaimaliza nchi walikuwepo wakati awamu ya kwanza inang'atuka, kwa kuwakumbusha tuu, hakuna awamu iliiwaacha nchi hii kavu na kwenye umaskini mkubwa kama awamu ya kwanza, awamu ya msifiwa nyerere.

NYERERE alivyong'atuka, benki kuu iliwashwa moto na kaikubakishwa hata dola moja ya kufutia machozi, Jee mnakumbuka? NYERERE alivyong'atuka,tulikuwa hata mafuta ya kwenye gari hatuna kwa kuwa tulikuwa hatuna fedha za nje za kununulia, kumbuka mzee ruksa alivyochukuwa nchi aliwaita wazee wa dar pale diamond akawaelezea kuhusu hili na ikambidi atumie mbinu za haraka za kwenda kuomba libya na imf na iran na kwingineko (hotuba ya mikuki miwili, mzee ruksa diamond.

Yaani hatukumbuki tulivyokuwa tunapangishwa foleni za unga, mchele, sukari, sabuni,viwembe, viberiti. KWA KIFUPI HATA WEMBE WA KUNYOLEA ilIkuwa hakuna BILA FOLENI

Nadhani wengi mnaoandika humu kusemasema hovyo, kama hii mada ya Lowasa, hata sijui tatizo nini? Nadhani wakati wa nyerere mlikuwa hampo au kwa waliokuwepo na wanachangia habari hizi zisizo na mantiki, basi ni wafupi wa kumbukumbu.

Sasa jamani mbona yeye (nyerere) hatumsemi alivyotuwacha pabaya kiuchumi! tunamsifu tuu?

Hebu waacheni hawa kina lowasa na kikwete wafanye vitu vyao, JEE, kwa ukweli wenu kabisa hamuoni kazi wanayoifanya? au ni chuki tuu za kibinafsi
?

Hongera sana,,, umepatia kila kitu wala ila umesahau tu kusema, "Nyerere aliwaonea wivu Boys 2 Men akwapiga stop akiwa na maana kwamba JK wakati ulikua bado na kwamba baadaye (yaani sasa) anaweza kuongoza nchi, lakini aliposema EL hafai kabisa, alikua akimuonea wivu" Nimeona tu nikusaidie na hapa unajaribu kuanzisha mjadala wa Nyerere, ili kuhalalisha anayoyafanya EL... kwamba kinachomsumbua sasa ni CHUKI NA WIVU wa wafuasi wa Mwalimu Nyerere.. ambao wakipungua basi EL atafanikiwa kuchukua nchi baada ya JK (sina hakika 2010 ama 2015).... Kweli sisi wengine tunamuogopa Mwalimu, bora umemtolea uvivu... Tuambie kila kitu SEMA USIOGOPE.... Sema pia kwamba kwa kuwa Mwalimu aliacha nchi pabaya, akaja Mwinyi ikawa nafuu kidogo, akaja Mkapa akainua uchumi lakini akainua na rushwa, na alipoondoka Mkapa sasa ni ruksa kwa yeyote kufanya lolote na tena bila hata kusemwa maana "AKINA NYERERE" walitusababishia maisha magumu... Hongera sana kaka na huo ni mwanzo mzuri wa KUMSAFISHA EL kutokana na ZIMWI LA MWALIMU NYERERE ALIYEMKATAA HADI DAKIKA YA MWISHO.... USIJALI UTAFANIKIWA MAANA SISI WATANZANIA NI WEPESI WA KUSAHAU. KARIBU SANA KAKA
 
Hivi huyo mtu alisikia PM ndie anahusika na kuuza viwanja? Kwa nini alikwenda kumuona PM kama sio kutafuta favour?
Kwa nini Pm alientertain kumuona na kudirect barua iandikwe, tena na katibu wake kwenda PSRC?

Angekwenda mswahili wa hapa hapa angerudishiwa reception kwamba ofisi ya PM haihusiki na viwnja hivyo.
Majungu hakuna alienayo .. huyo mtu wala hata hatumjui tuwe na majungu ya nini!
 
sioni tatizo hapo kwa EL,amesema waziwazi msaidieni katika sheria zilizopo....tuache majungu wakati mwingine.

Umepatia kabisa, "kwa sheria zilizopo" ambazo Meghji na Ngasongwa walikua hawazijui, PSRC walikua hawazijui, sheria zilizopo ambazo "Boss is always right" sheria zilizopo kuuza kiwanja kilichopo kati kati ya jiji kinachokadiriwa kihalali kuwa na thamani ya sh bilioni 2 (Bei ya mtaani hadi 4bn/-) kwa milioni 400.

Umepatia kabisa kaka, kama sheria zipo Kiwanja kilichokua kinamilikiwa na Msajili wa HAzina, kikapelekwa PSRC kinayouza mashirika ya umma, tena bila kutangaza zabuni... Sheria zilizopo baada ya kikao cha watu wawili pale MAGOGONI ama Sijui Oysterbay ama sijui huko LOndon???? Sheria zilizopo kuuza kiwanja ambacho kiko karibu na jengo la ubalozi wa Uingereza (na balozi nyingine za Ulaya) barabara moja na Majengo ya BOT, jirani kabisa na Wizara ya Afya, jirani kabisa na majengo ya Bima na mita chache kutoka ufukwe wa bahari ya HINDI kwa bei ya chee tena bila zabuni... Sheria zilizopo kuidharau sheria ya manunuzi.... heeee jamani, UMETUSAIDIA SANA kukumbuka kwamba alisema sheria zilizopo, tena bila kupiga simu kuwaambia "namleta mtu wangu hapo msikilize" heeeeee... yaani ukitaka kusaidiwa na mkuu wa polisi, unapewa karatasi iliyoandikwa "msikilize huyu Halisi kama taratibu na sheria zinaruhusu" hapo OCD akiona hata haangalii vitabu vya sheria, anaagiza, "hebu mtoeni huyo ndugu yake Halisi... asaini mahali kwamba atamleta hapa kesho saa mbili asubuhi" halafu nakwambia, "nyie nendeni wala kesho musije kama ikitokea jambo nitakupigia simu" hiyo ndio Bongoland sasa ndugu yangu tukumbushane hayo unayoyajua zaidi.. na pia mtu mwenyewe picha yake imeharibika hana tena hadhi kwa umma, kwa hiyo haaminiki, lakini tusaidie kutukumbusha na kutuelimisha alivyo SAFI
 
sioni tatizo hapo kwa EL,amesema waziwazi msaidieni katika sheria zilizopo....tuache majungu wakati mwingine.

Sasa kama sheria zipo huko kusaidia kunatoka wapi, kwa nini asiseme sheria zifuatwe?


Pole ndugu yangu, unatetea yasiyoteeka na kuhalalisha yasiyohalalishika, mna kazi kubwa!
 
Mie nashangaa! sioni tatizo hapa, jee tatizo ni nini? ni Hemed kumuona Lowasa? au Lowasa kuwaandikia psrc? na nnadhani Lowasa ameweka wazi kabisa kuwa sheria zifuatwe. Bado nnashangaa tatizo ni nini?


Kama huoni tatizo then you must be blind.

Mara ya kwanza walishindwa nini kununua? What changed when the PM wrote to PSRC? Huoni kuwa PM alishinikiza kwa namna moja au nyingine? Kama PM alitaka awa fair basi alitakiwa amwambie huyo afuate taratibu zilizopo bila ya yeye kuwaandikia PSCR. Kwa yeye kuwaandikia PSCR inaleta picha ya kuingilia process nzima.
 
Mie nashangaa! sioni tatizo hapa, jee tatizo ni nini? ni Hemed kumuona Lowasa? au Lowasa kuwaandikia psrc? na nnadhani Lowasa ameweka wazi kabisa kuwa sheria zifuatwe. Bado nnashangaa tatizo ni nini?
Sidhani kwa wale wanaosema kuwa awamu hii itaimaliza nchi walikuwepo wakati awamu ya kwanza inang'atuka, kwa kuwakumbusha tuu, hakuna awamu iliiwaacha nchi hii kavu na kwenye umaskini mkubwa kama awamu ya kwanza, awamu ya msifiwa nyerere.

NYERERE alivyong'atuka, benki kuu iliwashwa moto na kaikubakishwa hata dola moja ya kufutia machozi, Jee mnakumbuka? NYERERE alivyong'atuka,tulikuwa hata mafuta ya kwenye gari hatuna kwa kuwa tulikuwa hatuna fedha za nje za kununulia, kumbuka mzee ruksa alivyochukuwa nchi aliwaita wazee wa dar pale diamond akawaelezea kuhusu hili na ikambidi atumie mbinu za haraka za kwenda kuomba libya na imf na iran na kwingineko (hotuba ya mikuki miwili, mzee ruksa diamond.

Yaani hatukumbuki tulivyokuwa tunapangishwa foleni za unga, mchele, sukari, sabuni,viwembe, viberiti. KWA KIFUPI HATA WEMBE WA KUNYOLEA ilIkuwa hakuna BILA FOLENI

Nadhani wengi mnaoandika humu kusemasema hovyo, kama hii mada ya Lowasa, hata sijui tatizo nini? Nadhani wakati wa nyerere mlikuwa hampo au kwa waliokuwepo na wanachangia habari hizi zisizo na mantiki, basi ni wafupi wa kumbukumbu.

Sasa jamani mbona yeye (nyerere) hatumsemi alivyotuwacha pabaya kiuchumi! tunamsifu tuu?
Hebu waacheni hawa kina lowasa na kikwete wafanye vitu vyao, JEE, kwa ukweli wenu kabisa hamuoni kazi wanayoifanya? au ni chuki tuu za kibinafsi?[/QUOTE]

Mmh! Umenifanya niache shughli zangu ni respond maana umenitia hasira :mad: Hivi unalipwa kuja kutetea mabosi wako hapa?
Haya sasa kuwa makini:
1. Kwenda kumwona PM - mfanyabiashara yoyote ana haki ya kumwona PM lakini kama proposal yake haikukubalika na mawaziri na PSRC, kwenda kumwona PM na kuandikiwa kinoti ina maana wameshinikiza! Tusijifanye hatujui maana ya vinoti vya mabosi!
Kitila Mkumbo ameuliza swali zuri kwa nini alisema 'katika sheria zilizopo' kwa kiingereza within the law? Angesema 'accordng to law' yaani kufuata sheria. Sentensi hii ina maana 'piga ua - make the glove fit!' WE are masters at deciphering messages Bongo.
2. Kumsifu Nyerere na kusahau mabaya - hakuna aliyesahau uchumi ulivyoathirika under Nyerere, lakini watanzania wamemsamehe! Unajua kwa nini? Kwa sababu he was honest, he tried his best, what he thought was best. na alipoondoka madarakani akakiri makosa yake! Sasa hawa watawala wa sasa - they are no sincere wanawaza tumboni street. And FYI, free market economy was not MWinyi's invention, not Mkapa's invention and DEFINITELY not JK or EL invention. Shinikizo ilitoka mwisho wa miaka ya 80 after collapse of Communism, kutoka World Bank IMF na donors, kwamba Tanzania lazima ifungue milango. Nyerere alikataa lakini akaona hataweza kuendesha nchi hivyo alijiuzulu! If EL or JK is half the man that Nyerere is, basi na wao wajiuzulu!
3. Hatuoni kazi wanayofanya JK na EL - kwa taarifa yako according to latest poll iliyotayarishwa na 'mshikaji' wa JK more than half of Tanzania hawaoni kazi wanayo fanya. In fac approval rating ya EL ni 5.9%! Utajiju! Watanzania in fact wanaona kazi wanayofanya - ya kuiba nchi, ufisadi na kusafiri kwa pesa nyingi ya walipa kodi. Hivi umewahi kwenda nje ya Dar au unaendesha maRange Rover mliyojipatia kupitia ufisadi? Nenda hapo Chalinze tu nje kidogo utaona maisha halisi ya mtanzania!

Tafadhali acha kutetea bila kufikiri. If things are going well it's only for you! Mpaka watu kutoka nje wameshtuka tuna hali mbaya ya kiuchumi we unakuwa kama waziri wa ulinzi wa Iraq under Saddam! Usanii tu, alafu unafikiri you are a spin master.

Kwa taarifa yako hakuna chuki binafsi hapa, in fact watu wengi walikuwa wanamsupport sana Mungwana lakini ukweli ni kwamba ametuangusha watanzania! EL ndiyo hata tusieme....
 
Back
Top Bottom