Is Kenya Preparing For War With Somali?

The Al-shabaab islamist now warn Kenya that they will attack and bomb what they reffered as"Those tall glass buildings" if Kenya goes in
 
"Kenya Army units have been put on stand by to counter any Al Shabaab insurgency spill over from Somalia.This follows the meeting of the country's top Security council which was chaired by President Kibaki and right Hon Raila Odinga on Tuesday.

Internal sources confirm that the Kenya Army is prepared to go into deep Somalia to counter the insurgency.Over 13000 Personnel have now been stationed in the border with reports that more are being dropped in by Army Helicopters.

Its also believed that about 500 officers have gone 10 KM into Somalia to secure an important bridge which the Al Shabaab had threatened to blow up in order to stop the movement of the Kenyan Millitary.

Over 130 Tanks are now on the border with several Fighter and Transport Helicopters on stand by in Moyale,Isiolo,Nanyuki and Moi Air Base in Nairobi

Other reprts indicate that a consignment from the US Milliatry and the Kenya Millitary was dropped in Mogadishu on Saturday by the Kenya Airforce by express orders from Kenya's Ministry of Defence
and the office of the Prime Ministe
r"

Why do i have a problem with this story looks unfounded if you ask me
 
The problem with this war is that kenya watakwenda kupigana "Proxy war" that is pretty sure though not politically correct
Alshabab gets financial support from whom? there are conspiracy theory which suggest that US is behind this, they support alshabab, and others militarily for economic gain (kuuza silaha)
Now wasiwasi wangu ndugu zangu wakenya (wakwe by the way I have kikuyu beutiful wife) watauwa wengi bila sababu "playing tactics is better than real field battle" mtaondoka kwa aibu "US will support you inone hand and will support alshabab on other hand" mtauwana wao wanauza silaha....
 
The problem with this war is that kenya watakwenda kupigana "Proxy war" that is pretty sure though not politically correct
Alshabab gets financial support from whom? there are conspiracy theory which suggest that US is behind this, they support alshabab, and others militarily for economic gain (kuuza silaha)
Now wasiwasi wangu ndugu zangu wakenya (wakwe by the way I have kikuyu beutiful wife) watauwa wengi bila sababu "playing tactics is better than real field battle" mtaondoka kwa aibu "US will support you inone hand and will support alshabab on other hand" mtauwana wao wanauza silaha....

America and Alshabaab is what my English teacher used to call an oxymoron, they cant be together.
 
Kila la kheri wakenya. Lakini kumbukeni kwamba mfupa ulimshinda fisi sasa mbwa atauwezaje?.

Marekani alishindwa hapo somalia, sasa mkenya utaweza?
 
America and Alshabaab is what my English teacher used to call an oxymoron, they cant be together.

Al-shabaab has been trained and supported by Al-qaeda and is frequently mentioned in Osama and Zawahiri tapes,there is no way the US will arm them.The US has also black-listed Al-shabaab as a terrorist outfit and bombed them a few times.It also means another front in Africa for Al-qaeda.
It is also important to note that Somalia supported an insurgency in Kenya 64-70 that killed thousands in the northeast,and Kenya asked Nyerere to talk to his friend Siad Barre who obliged[read kumekucha blog].Tanzania has played big brother on many occations solving Kenya problems but we always get their bad reviews.
 
Inasemekana Kenya imepeleka jeshi mpakani mwake na Somalia (eneo la mandera).
Kuna nini?
Ni maandalizi ya Vita?
Kenya itaiweza Somalia?
Mbona MIGINGO haikuchangamkiwa hivyo?
Uganda ni tishio kwa Kenya?
Au huku kupeleka jeshi mpakani na Somalia ni vitisho tu?





 
Last edited:
Somalia ni eneo hatari sana kwa usaslama wa kenya na hasa eneo la mpakani mwa bahari na hoja ya msingi hapa ni kenya kujihami na magaidi wa al qaeda ambao wanaweza ingia kupitia somalia na hivyo kuhatarisha usalama wa maeneo ya uwekezaji ya utalii huko kenya hasa mombasa na lamu....
 
Somalia ni eneo hatari sana kwa usaslama wa kenya na hasa eneo la mpakani mwa bahari na hoja ya msingi hapa ni kenya kujihami na magaidi wa al qaeda ambao wanaweza ingia kupitia somalia na hivyo kuhatarisha usalama wa maeneo ya uwekezaji ya utalii huko kenya hasa mombasa na lamu....


msiongelee kenya hata sisi hatuko salama sana...juzi wasomali wameingia Tanzania kwa mbinu mpya walikuja na majahazi hadi kwenye delta ya mto ruvu....then wakachukua mitumbwi midogo hadi ndani ndani...kukawa tayari kuna gari inawasubiri [lori]....ikawapakia wakashikiwa bagamoyo baada ya wasamaria wemma kuona....

cha kuchangaza surveillance ya NAVY kama ipo tangu kuanzia somalia,kenya, hadi wanafika kwenye delta yetu haikuwaona.....nahisi walisafiriswa na ,meli kubwa ya kisomali kwenye maji makubwa ..kabla ya kuchukua ngalawa.....

Pia inaaminika kuna wimbi la wafanyabiashara wakiubwa wa kisomali...wengine wao wakiwa walikuwa mawaziri kwenye serikali ya siad barre ...ambao wako hapa Tanzania ...wakiaminiwa na serikali na kupewa fursa na kazi mbalimbali ...ndio wanaofadhili kuleta wasomali Tanzania..na wengine huwaajiri wenyewe....na pia wanatumia faida wanayopata hapa tanzania na nchi nyingine kufadhili vikundi vya kigaidi ndani ya somalia ...ili waweze kurudisha ndugu zao madarakani!! this is seriuos problem!!
 
Haya mambo yanatisha sana. Wasomali hawa, sijuwi wanataka nini hapa duniani. Maana hata meli sasa hazipiti mitaa yao.
 
msiongelee kenya hata sisi hatuko salama sana...juzi wasomali wameingia Tanzania kwa mbinu mpya walikuja na majahazi hadi kwenye delta ya mto ruvu....then wakachukua mitumbwi midogo hadi ndani ndani...kukawa tayari kuna gari inawasubiri [lori]....ikawapakia wakashikiwa bagamoyo baada ya wasamaria wemma kuona....

cha kuchangaza surveillance ya NAVY kama ipo tangu kuanzia somalia,kenya, hadi wanafika kwenye delta yetu haikuwaona.....nahisi walisafiriswa na ,meli kubwa ya kisomali kwenye maji makubwa ..kabla ya kuchukua ngalawa.....

Pia inaaminika kuna wimbi la wafanyabiashara wakiubwa wa kisomali...wengine wao wakiwa walikuwa mawaziri kwenye serikali ya siad barre ...ambao wako hapa Tanzania ...wakiaminiwa na serikali na kupewa fursa na kazi mbalimbali ...ndio wanaofadhili kuleta wasomali Tanzania..na wengine huwaajiri wenyewe....na pia wanatumia faida wanayopata hapa tanzania na nchi nyingine kufadhili vikundi vya kigaidi ndani ya somalia ...ili waweze kurudisha ndugu zao madarakani!! this is seriuos problem!!


Duu hii imeka kikachero zaidi bro. Ebu bianfsi Nakupa nyota moja kama kamanda mstafu. Endelea.
 


msiongelee kenya hata sisi hatuko salama sana...juzi wasomali wameingia Tanzania kwa mbinu mpya walikuja na majahazi hadi kwenye delta ya mto ruvu....then wakachukua mitumbwi midogo hadi ndani ndani...kukawa tayari kuna gari inawasubiri [lori]....ikawapakia wakashikiwa bagamoyo baada ya wasamaria wemma kuona....

cha kuchangaza surveillance ya NAVY kama ipo tangu kuanzia somalia,kenya, hadi wanafika kwenye delta yetu haikuwaona.....nahisi walisafiriswa na ,meli kubwa ya kisomali kwenye maji makubwa ..kabla ya kuchukua ngalawa.....

Pia inaaminika kuna wimbi la wafanyabiashara wakiubwa wa kisomali...wengine wao wakiwa walikuwa mawaziri kwenye serikali ya siad barre ...ambao wako hapa Tanzania ...wakiaminiwa na serikali na kupewa fursa na kazi mbalimbali ...ndio wanaofadhili kuleta wasomali Tanzania..na wengine huwaajiri wenyewe....na pia wanatumia faida wanayopata hapa tanzania na nchi nyingine kufadhili vikundi vya kigaidi ndani ya somalia ...ili waweze kurudisha ndugu zao madarakani!! this is seriuos problem!!

Ni kweli kabisa, hata pale Bagamoyo kuna hoteli mbili kubwa za kitalii zinamilikiwa na mtu aliyekuwa waziri katika serikali ya Siad Barre. Wapo wengine wengi tu wanaomiliki vituo vya petroli, makampuni, na mahoteli katika miji ya Bagamoyo, Dar na Morogoro.
 
Ni kweli kabisa, hata pale Bagamoyo kuna hoteli mbili kubwa za kitalii zinamilikiwa na mtu aliyekuwa waziri katika serikali ya Siad Barre. Wapo wengine wengi tu wanaomiliki vituo vya petroli, makampuni, na mahoteli katika miji ya Bagamoyo, Dar na Morogoro.

Nafikiri hata ile City garden ilikuwa ya mmojawapo. Je JK analijua hili au naye kaduwa???

Kama wasomali wanataka waishi kwetu basi wafuate sheria. Kama waisalamu wa nje ya TZ wanataka kuishi na sisi basi wakumbuke nchi hii wanawake kwa waume wakristo na waislamu ndo founders wa nchi na wanaiheshimu katiba yao na si vinginevyo, wasomali na watu wengine msitusumbue jamani plz.
 
Ni kweli kabisa, hata pale Bagamoyo kuna hoteli mbili kubwa za kitalii zinamilikiwa na mtu aliyekuwa waziri katika serikali ya Siad Barre. Wapo wengine wengi tu wanaomiliki vituo vya petroli, makampuni, na mahoteli katika miji ya Bagamoyo, Dar na Morogoro.

Nao wana haki ya kuishi popote kama hawavunji sheria. Kwani wao si binadamu kama binadamu wengine?. Kama wana uwezo wa kuwekeza, waache wawekeze, si tumeamua wenyewe kukumbatia wawekezaji.
 
Ni kweli kabisa, hata pale Bagamoyo kuna hoteli mbili kubwa za kitalii zinamilikiwa na mtu aliyekuwa waziri katika serikali ya Siad Barre. Wapo wengine wengi tu wanaomiliki vituo vya petroli, makampuni, na mahoteli katika miji ya Bagamoyo, Dar na Morogoro.

Mkuu.

Paradise Hotel imeshaanza kufanya kazi?
 
Ni kweli kabisa, hata pale Bagamoyo kuna hoteli mbili kubwa za kitalii zinamilikiwa na mtu aliyekuwa waziri katika serikali ya Siad Barre. Wapo wengine wengi tu wanaomiliki vituo vya petroli, makampuni, na mahoteli katika miji ya Bagamoyo, Dar na Morogoro.

......tuko pamoja...nafikiri Tanzania tumesaidia sana vikundi ,mbali mbali kuleta hali ya utulivu kwa kura au kijeshi...lakini interest yetu kubwa ni kwa zile nchi tunazoshea nazo mpaka..lengo la mwalimu lilikuwa kuhakikisha hatuwi hatarini...majirani wanapokuwa hawana amani...,nadhhani ni jukumu la kenya pia kuhakikisha amani ya somalia....

LAKINI KWA WASOMALI TULIOWAPOKEA HAPA BAADA YA KUWA WAMEFURUSHWA MADARAKANI KAMA WAMEAMUA KUISHI TANZANIA WAACHANE NA HARAKATI ZA KUFADHILI VIKUNDI VYA KISOMALI....KUVISAFIRISHA KWA MALENGO YA KU RECAMP ...na baadaye kuwarudisha somalia kwa ajili ya kufanya insurgency...hii haikubaliki.TREND organised transportation ya wasomali kuja tanzania na namna wanavyokuta logistic za kuwapokea huko maporini na kuwavusha kwenye malori wazi zinaashiria ...wanaoratibu usafirishaji wa hawa vijana wapo hapa tanzani...na wametapakaa hadi mataifa mengine,,...kwa kuwa wanasafiri kwenye makundi ya hadi vijana 50[wanaume]...inatia shaka kama hawaandaliwi safari za kupelekwa kwenye mataifa mengine kwa ajili ya mafunzo ...ya uhalifu..au vinginevyo..!!

Tukio la kukamatwa wasomali kwenye malori si la kwanza ....na haliwezi kupita bila kupatiwa jibu kwa kuikata mizizi ya wafadhili wa usafirishaji huo walio hapa!!...ni wazi mnakumbuka kuwa miaka iliyopita vijana maharamia waliojazana kutoka somalia ...walivyounda kikosi cha uhalifu wa mifugo ,watalii ,wanyama pori kule arusha kilichokuwa na organisation ya kijeshi...na waliweza kufanya uaribifu mkubwa hadi kuuwa OCD...task force iliyoongozwa na MAJ generali wa jeshi ilibidi kuitwa kupambana nao na kuwaua wote....so we should take this trek lightly!!!!
 
Mkuu.

Paradise Hotel imeshaanza kufanya kazi?

Nakumbuka habari za mwisho nilizo nazo ni kwamba iliungua, lakini mmiliki wake alisikika akitamba kuwa hoteli yake ina bima ya mamilioni ya dola, kwa hiyo angeibuka na kitu kipya muda mfupi baadae. Sijui kama alishatimiza hilo.
 
Nakumbuka habari za mwisho nilizo nazo ni kwamba iliungua, lakini mmiliki wake alisikika akitamba kuwa hoteli yake ina bima ya mamilioni ya dola, kwa hiyo angeibuka na kitu kipya muda mfupi baadae. Sijui kama alishatimiza hilo.

...ndio ivyo si wanachoma wenyewe..sisi tunaolipa vibima vya third party ...kazi yetu ni kuwachangia ma big fish!!.. utasema si pesa zetu ?..na watu hawa mafile yanaonesa walikuwa na kiwanda morogoro wakachoma na wakalipwa ...nadhani enzi hizo NIC...

...ulaya uku mtu akigundulika kufanya namna iyo anakuwa blacklisted ..au premium yake inakuwa kiboko...nyumbani mtu anachoma watu wanamsikia anatamba ...and life goes on...!! ulaya wafanyakazi na wageni walionusurika wangemshtaki...na kumdai fidia kwa kuhatarisha maisha yao makusudi !!!..its only possible in tanzania!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom