Wakati REDET na Synovate wanaita waandishi wa habari na kutangaza "utumbo" wao kwa watanzania, nimekuwa nikijiuliza kwa nini JF nasi tusiwaite waandishi wa habari na kuwatangazia matokeo ya kura ya maoni?? Je JF ni waoga au wahariri ndio waoga?
View Poll Results: Nani anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2010-2015?
Voters 9169. Jakaya Mrisho Kikwete (CCM) 21.92% Willibrod Slaa (CHADEMA) 68.62% Ibrahim Lipumba (CUF) 2.86% Hashim Rungwe (NCCR-Mageuzi) 5.28% Mutamwega Mugahywa (TLP) 1.32%
View Poll Results: Nani anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2010-2015?
Voters 9169. Jakaya Mrisho Kikwete (CCM) 21.92% Willibrod Slaa (CHADEMA) 68.62% Ibrahim Lipumba (CUF) 2.86% Hashim Rungwe (NCCR-Mageuzi) 5.28% Mutamwega Mugahywa (TLP) 1.32%