Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,844
ukinipa nafasi nitakuonjesha ...
...Mungu wangu! !!! mke wa mtu sumu baba'ke... hujawahi sikia tego wewe?
hehehehe kama unajua kitakacho tokea kwa nini na wewe usifikirie kama jamaa atakuwa amesha maliza na hii ni defence mechanism ikija kukufikia kisiwe kitu kigeni kwako.
sijakupata
...anamaanisha, mume anakwambia fulani ananifuata fuata, kumbe tayari keshatembea naye. Anatumia mbinu hiyo kujikinga ili hapo baadae utapokuja ujua ukweli akwambie ni wazushi tu hao, unaujua ukweli!