Penny
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 575
- 48
3 days to go,worry not dear!..
Masa subiri nigusie machache tu!!
unajua watu wanatofautiana kwenye haya mapenzi. Cha muhimu ni mtu utakayekutana nae mkawa wote kama wapenzi.
Inapendeza kusikilizana pia kwenye kuulizana maswali isiwe kama vile unaishi na 'detective' fulani ndani ya nyumba yako. Au jitahidi ku-twist maswali in a romantic if not a jokey way ili mtu asiwaze analindwa kila saa.
Sometimes mpe mtu nafasi,kama anatoka na rafiki zake out mpe viza yake arudi usiku wa manane hata asubuhi ajue unamjali ila humlindi kupita maelezo. lazima ugusie kuwa awe mwangalifu na vitu kadhaa kiafya na usalama wenu.
Ukimuuliza mtu swali akakujibu kwa hasira ujue umemkera hivyo unaweza kusema yaishe au kuomba msamaha kwa kuona umemkwaza kwa swali lako au jinsi ulivyouliza kwa ghadhabu.
Kila kitu kina raha na karaha zake!..
Hongera, kunawengine wakipewa hio viza ndo kama umempa chizi rungu...ila kama hiyo viza inatoka kwa wote wawili basi mambo poa! Mimi binafsi napenda mambo yetu yaende at par (sijui nimepatia yani kwa kikwetu sambamba).