Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
Ni rahisi kutamkika na hata humu JF sio uncommon kukutana na statement ya "mke wa mtu sumu". Kwa upande wa pili, ni rahisi kukutana na statement "achana na nyumba ndogo, utaharibu ndoa yako". Hizi statement mbili zote ni nzuri na naamini zina nia njema. Lakini ukizi-analyse kidogo unaona kuwa watu wanaamini kuwa mahusiano kati ya mwanaume fulani na mke wa mtu yanakuwa na hatari zaidi kwa huyo mwanaume mwizi pindi akikamatwa, while mahusiano kati ya mwanamke fulani na mume wa mtu yanakuwa na hatari zaidi kwa ndoa ya huyo mwanamume pindi wakikamatwa. Kwa maneno mengine "nyumba ndogo haipo katika hatari kubwa sana as compared to "kidumu".....
........ Is that correct that it is safer for a woman to mess up with someones husband than it is for a man to mess up with someones wife?
........ Is that correct that it is safer for a woman to mess up with someones husband than it is for a man to mess up with someones wife?