Is It Possible?

Sweaty,kila kitu kinawezekana,lakini jambo moja tu muwe mnajitambua!Kama mtakua hamjui maana ya msamaha na kujua majukumu yenu,kumsamehe mtu haina maana kurudisha mahusiano ya kimapenzi,mambo mengine yataendelea ila sio love!
 
Mwanajamiione
Personally I believe inawezeka provided kuna clear lines as to what entails the said friendship relation.You need to make sure, that he is clear on what's acceptable and whats not. Also be ready to stand your ground as far as the consequences are concerned when and if the line is crossed.

Sidenote
Pole I know its easier said than done, but in the long run I think it's mighty important for the children's well being to have parents who are civil to each other

Aksante Nemo kwa hili bandiko lako. Nadhani utakuwa sahihi iwapo tu wote wawili mnakubaliana na hizo limits but kama kutakuwa na mmoja wenu ambaye anafikiria by you two getting close together in the name of friendship anaweza kuwin your heart back, I think it might be a wrong move au??
 
Hii iko 50 kwa 50,inategemea ni kipi hasa kilichowafanya watengane,je ni ugonjwa ama ni mtafaruku tu katika mapenzi,kama ni ugonjwa na wote wakaridhia kuachana inawezekana kabisa wakawa friends na kushiriki masuala mengine ya kifamilia kama ulivyoainisha hapo juu,lakini kama c ugonjwa na waliachana kwa sababu za mitafaruku katika mapenzi kibongo bongo duh HAIWEZEKANI
 
Matola aksane. Hivi kuna kutengana pasipo maumivu iwapo lengo lenu tangu mwanzo ilikuwa ni kuwa pamoja forever?? But I think you are very right kuwa fuata moyo wako unavyokutuma but sometimes unajikuta unaudoubt hata huo moyo wako maana shinikizo linakuja kila pembe!
My self ni vigumu sana kuja kumpenda mwanamke yoyote yule with my all heart, nitakachojitahidi ni kumuonesha kwamba namjali na nampenda lakini whatever the case i have nothing to lose from any woman.
 
very good one,

Ila si lazima kuwa friends ili muwe civil... the most important ni kujua ramani ya kila mmoja... i would talk to her about kids, school, future plans, holidays of our kids but not inviting her around

Kwa kuanza kualikana mnaanza kuwanyima amani waliowazunguka, either new friends au hata ndugu

Usiombe ualike ex-wife halafu ndugu zako au wa mke mpya wawepo and watoto nao wawepo

MTM

I disagree. I believe to some extent, being civil does require more. Eg Its civil to ensure a parent is invited to his/her kids sherehe.Similarly it is civil for the invited parent to have taken time to attend. However there is a huge difference when on a kids Bday party parents seat at opposite ends of a corner avoiding eachother like plagues, to a birthday where they can freely interact and conversate like real people.
 
very good one,

Ila si lazima kuwa friends ili muwe civil... the most important ni kujua ramani ya kila mmoja... i would talk to her about kids, school, future plans, holidays of our kids but not inviting her around

Kwa kuanza kualikana mnaanza kuwanyima amani waliowazunguka, either new friends au hata ndugu

Usiombe ualike ex-wife halafu ndugu zako au wa mke mpya wawepo and watoto nao wawepo

MTM I cant imagine myself in that position but I cant also dare to put the new guy in my life in that dreadful situation either. I recently experience the same kind of situation, in a family shughuli then the unofficial Ex- aje na expectation kuwa you would entatain him, yaani ile aje, uamke ukampokee na kumkaribisha, akiopndoka umsindikize with bashasha and all that. Its hard kwa kweli na pale anapoona umeshindwa kufulfil hizo expectation zake atoke na kwenda lalamika kwa ndugu zako (Broz and Uncles) halafu wao ndio wanakuja wakwambia eti you two should be friends for the sake of the kid ilhali mmoja wenu is into more than that!!
 
inategemea na kutengana kwenu. Na kama kila mtu yupo kwenye mahusiano mengine inawezekana bila longolongo
 
Sweaty,kila kitu kinawezekana,lakini jambo moja tu muwe mnajitambua!Kama mtakua hamjui maana ya msamaha na kujua majukumu yenu,kumsamehe mtu haina maana kurudisha mahusiano ya kimapenzi,mambo mengine yataendelea ila sio love!
Elyer darling nimekupata vilivyo..... muelewe maana ya msamaha. Ila unajua bwana once a lover is always a lover ukimpa nafasi na ukaribu. Remember this time atakuwa tayari keshakujua udhaifu wako, nini hupendi na nini unapenda, anawezaamua kuku-manipulate through that friendship na wewe kwa kuwa ulishawahi kumpenda ukajikuta unaanza zile za may be amechange, may be amelearn his/her mistakes e.t.c. provided kuwa hakuna mwenye relationship mpya ambayo iko defined, mnawezajikuta mnajaribu tena .... au ni mie tu na mijiwazo yangu
 
inategemea na kutengana kwenu. Na kama kila mtu yupo kwenye mahusiano mengine inawezekana bila longolongo

nakubaliana na wewe BADILI TABIA. Ni kweli kabisa kuwa inategemea kama uko kwenye mahusiano but supposed uko kwenye kipindi cha mpito!? Una mahusiano but kwa kuwa tu this chapter ya kwanza haijakuwa closed officially, huwezidisclose mahusiano mapya and the only way ni kuavoid getting closer to your ex.
 
Aksante Nemo kwa hili bandiko lako. Nadhani utakuwa sahihi iwapo tu wote wawili mnakubaliana na hizo limits but kama kutakuwa na mmoja wenu ambaye anafikiria by you two getting close together in the name of friendship anaweza kuwin your heart back, I think it might be a wrong move au??

You are right, given a chance the way mapenzi na sisi wanawake tulivyo friendship may end up having you backtrack.
 
Sweetie nazungumzia wale ambao wametengana na kuwa bado hawako supposed to have other relationships au hata kama wanazo basi hawako tayari kuonyeshana pengine kwa sababu maalumu.

Hapo kwenye namna mlivyotengana unazungumzia kutengana kwa ugomvi au amani ((kuna kutengana kwa amani??)?

nakubaliana na wewe BADILI TABIA. Ni kweli kabisa kuwa inategemea kama uko kwenye mahusiano but supposed uko kwenye kipindi cha mpito!? Una mahusiano but kwa kuwa tu this chapter ya kwanza haijakuwa closed officially, huwezidisclose mahusiano mapya and the only way ni kuavoid getting closer to your ex.

...aha, ok....

hii ina tafsiri tofauti na ninayoizungumzia mimi... kwa kesi hii, cheti cha kuachana kinahitajika hapa
kila mmoja ajue haki zake, otherwise 'mtabakia' mnategeana na kila mmoja kumbebesha mwenziwe mzigo wa lawama.

kuachana kwa amani kupo dear,....zipo sababu zinazokubalisha hali hiyo,
ikiwamo mitizamo tofauti ya maisha, kiimani, au tamaduni...(fikiria nje ya boksi)
 
The Boss, kusema ukweli kwangu imeniwia vigumu sana yaani zaidi ya salamu na kilichokuleta siweziendelea kustorisha. Sasa hapa ninapoambiwa eti tuwe friends hata kama we are not getting back together!!! Ah na kozi yenyewe naacha kwa kweli.
h

Unaweza sana, hujaiweka akili yako kwenye kufanikisha hilo. Na usiache hizo kozi ya anger management. Labda bado uko kwenye denial period, so ukifuatilia kozi waweza ikubali hali halisi kwa urahisi zaidi.
 
Friends?? Mnatoka out kabisa? Sidhani kama inawezekana, mtashirikishana tu kwenye matters zinazohusu watoto!!
 
Unaweza sana, hujaiweka akili yako kwenye kufanikisha hilo. Na usiache hizo kozi ya anger management. Labda bado uko kwenye denial period, so ukifuatilia kozi waweza ikubali hali halisi kwa urahisi zaidi.

Friends?? Mnatoka out kabisa? Sidhani kama inawezekana, mtashirikishana tu kwenye matters zinazohusu watoto!!

Well I can see am not alone katika hili. Aksante kipipi
 
Ni ngumu sana maana wengi hawaachani kwa kupenda. Unakuta upande mmoja bado unahitaji mahusiano lakini mazingira husababisha kuachana. Hali kama hiyo hujenga chuki upande mmoja ila kutokana na watoto watu hao hujikuta wanawasiliana hasa kwa mambo yanayohusu watoto tu na si mengineyo.
Kwa wale wanaochana kwa sbb zilizo nje ya uwezo wao na wakaendelea kualikana mitoko na shughuli mbali mbali ni rahisi kujikuta wanajikumbushia enzi zao.
 
Friends?? Mnatoka out kabisa? Sidhani kama inawezekana, mtashirikishana tu kwenye matters zinazohusu watoto!!

Mtatokaje out wakati tayari mko out of marriage na house? Na aliyeumizwa ndo huwa hawezi kabisa kuucheza mziki huo.
 
Inawezekana sasa, kama watakua wote wamesha kua na maisha mapya. Don't force it lakini...
Mi najua na naamini inawezekana, tena sana!
 
Inawezekana sasa, kama watakua wote wamesha kua na maisha mapya. Don't force it lakini...
Mi najua na naamini inawezekana, tena sana!

Ila kama yeye ndo alitendwa na bado haja-recover, povu lake ni heri nyati aliyejeruhiwa. Ni kweli, asilazimishe haraka, ajipe muda.
 
Back
Top Bottom