Is It Possible?

MwanajamiiOne

Platinum Member
Jul 24, 2008
10,470
6,562
Wapendwa ninatumaini wote mu wazima.
Ninaomba msaada wenu
Eti inawezekana kwa wazazi waliotengana wakabaki marafiki? Kuwa kwa kuwa mmejaaliwa mtoto/watoto kisha mkatengana, na mnajua kabisa (or at least upande mmoja unajua kabisa kuwa hakuna possibility ya kurudiana- mnaweza mkawa mnaalikana/particippate kwenye shughuli za familia mf. arusi na sometimes kuwatoa watoto wenu out kwa pamoja??

Is it possible? Maana naona hii anger management course itanishinda!
 
Dah! Hii kibongobongo imewashinda watu unakuta mmeachana lakibi bado mtu ana wivu sasa unashanga hii inakuwaje tena ndio maana unakuta mara nyingi watu wakiachana hata kuwatoa watoto wakiwa pamoja inakuwa ishu kila mtu anatoka na mtoto kwa wakati wake, halafu unakuta mwingine bado ana kinyongo na mwenza wake so kuandamana nae na watoto watoke pamoja anaona uzushi anataka yeye atoke na mtoto peke yake pengine ameishapata mwanamke\mwanaume mwingine kwahiyo atakuwa anataka kumuonyesha huyo mupya mtoto wake.
 
Kwangu mimi it is not possible. Period

Ni possible kwa mambo ya msingi na yanayohusu watoto but sio sijui mkuwe pamoja eti mnawatoa watoto out hehehe mnaweza mkawatoa watoto out halaf nyinyi mkaishia in.

MJ1 kwaheri
 
Boss nimeshuhudia jamaa alimuacha mwenzake lakini alipoombwa wakaenda kwenye tafrija na watoto, mshikaji alikuwa bado ana wivu...lol

wivu ni kitu 'powerfull mno'
watu hufanya 'maamuzi' yasiyo tarajiwa kwa sababu ya wivu
 
Kwangu mimi it is not possible. Period

Ni possible kwa mambo ya msingi na yanayohusu watoto but sio sijui mkuwe pamoja eti mnawatoa watoto out hehehe mnaweza mkawatoa watoto out halaf nyinyi mkaishia in.

MJ1 kwaheri
Kamanda banaa kumbe bado una ugonjwa wa wivu waliokutundika dripu 10 kipindi kile
 
Wapendwa ninatumaini wote mu wazima.
Ninaomba msaada wenu
Eti inawezekana kwa wazazi waliotengana wakabaki marafiki? Kuwa kwa kuwa mmejaaliwa mtoto/watoto kisha mkatengana, na mnajua kabisa (or at least upande mmoja unajua kabisa kuwa hakuna possibility ya kurudiana- mnaweza mkawa mnaalikana/particippate kwenye shughuli za familia mf. arusi na sometimes kuwatoa watoto wenu out kwa pamoja??

Is it possible? Maana naona hii anger management course itanishinda!

...unazungumzia kwenye situation gani mamie?...nyote mkiwa single, au nyote mkiwa committed na mahusiano mengine?
kwenye usingle, au mmoja wenu akiwa single... kuna hatari ya mmoja wenu akawa anafanywa 'msukule'...

...hata hivyo, hii pia inategemea mmetengana vipi.

 
Dah! Hii kibongobongo imewashinda watu unakuta mmeachana lakibi bado mtu ana wivu sasa unashanga hii inakuwaje tena ndio maana unakuta mara nyingi watu wakiachana hata kuwatoa watoto wakiwa pamoja inakuwa ishu kila mtu anatoka na mtoto kwa wakati wake, halafu unakuta mwingine bado ana kinyongo na mwenza wake so kuandamana nae na watoto watoke pamoja anaona uzushi anataka yeye atoke na mtoto peke yake pengine ameishapata mwanamke\mwanaume mwingine kwahiyo atakuwa anataka kumuonyesha huyo mupya mtoto wake.

Yaani hapo niomeiondoa hiyo ya kuwa na another relationship kwani ikishakuwa hivyo its NEVER. Tutaishia tu Bwana eh Mtoto anaumwa kalazwa au mtoto anamaliza term so jiandae kwa ada ya next term but zaidi ya hapo eti flan anaoa utoe mchango au uhudhurie, au tumtoe mtoto kusema ukweli naona karibu navunja undugu na ndugu zangu! Hawataki kunielewa kusema ukweli, kwangu alianza nikamaliza na sitarajii kurudi wala kufake urafiki wa kuunga unga na selotepu kama tunapamba mti wa krismass.
 
Ili somo limewashinda maprofesa wa vyuo vikuu vyote duniani, fanya kile unachoona moyo wako unahitaji. mtu mlietengana nae kwa kukuachia maumivu huwezi kumsamehe ndani ya moyo wako, whatever u can do utakuwa unapretend tu.
 
Kwangu mimi it is not possible. Period

Ni possible kwa mambo ya msingi na yanayohusu watoto but sio sijui mkuwe pamoja eti mnawatoa watoto out hehehe mnaweza mkawatoa watoto out halaf nyinyi mkaishia in.

MJ1 kwaheri

Shemeji huu ndio mtazamo wangu mie although hiyo ya sisi kuishia in siifikirii kwa sababu ilishafutika ndani kwangu ila tu kwa upande wa pili, kuna false hopes ambazo hata kipofu anaona giza kusema ukweli.
 
MJ1

It can be possible but rest assured its going to destroy more than anything. Many of those (no reference here) who separate adn remain friends huendelea kula tunda, and that makes it very difficult to move on, and very unfortunately women huwa wanakua affected negative zaidi kutokana na mfumo dume uliopo.

I have seen a few cases wapenzi wa zamani wanaalikana, na baada ya shughuli jamaa wanashtua na maisha yanaendelea, with our nature, freedom ya kiume nk we usually leave our emotions right there after "the do-do thing" but women take those emotions back home and keep them for some time

Ushauri wangu, DO NOT ENTERTAIN IT, COZ FOR A WOMAN NI KUJIPIGA LOCK TU
 

...unazungumzia kwenye situation gani mamie?...nyote mkiwa single, au nyote mkiwa committed na mahusiano mengine?
kwenye usingle, au mmoja wenu akiwa single... kuna hatari ya mmoja wenu akawa anafanywa 'msukule'...

...hata hivyo, hii pia inategemea mmetengana vipi.

Sweetie nazungumzia wale ambao wametengana na kuwa bado hawako supposed to have other relationships au hata kama wanazo basi hawako tayari kuonyeshana pengine kwa sababu maalumu.

Hapo kwenye namna mlivyotengana unazungumzia kutengana kwa ugomvi au amani ((kuna kutengana kwa amani??)?
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Ili somo limewashinda maprofesa wa vyuo vikuu vyote duniani, fanya kile unachoona moyo wako unahitaji. mtu mlietengana nae kwa kukuachia maumivu huwezi kumsamehe ndani ya moyo wako, whatever u can do utakuwa unapretend tu.
Matola aksane. Hivi kuna kutengana pasipo maumivu iwapo lengo lenu tangu mwanzo ilikuwa ni kuwa pamoja forever?? But I think you are very right kuwa fuata moyo wako unavyokutuma but sometimes unajikuta unaudoubt hata huo moyo wako maana shinikizo linakuja kila pembe!
 
Mwanajamiione
Personally I believe inawezeka provided kuna clear lines as to what entails the said friendship relation.You need to make sure, that he is clear on what's acceptable and whats not. Also be ready to stand your ground as far as the consequences are concerned when and if the line is crossed.

Sidenote
Pole I know its easier said than done, but in the long run I think it's mighty important for the children's well being to have parents who are civil to each other
 
MJ1

It can be possible but rest assured its going to destroy more than anything. Many of those (no reference here) who separate adn remain friends huendelea kula tunda, and that makes it very difficult to move on, and very unfortunately women huwa wanakua affected negative zaidi kutokana na mfumo dume uliopo.

I have seen a few cases wapenzi wa zamani wanaalikana, na baada ya shughuli jamaa wanashtua na maisha yanaendelea, with our nature, freedom ya kiume nk we usually leave our emotions right there after "the do-do thing" but women take those emotions back home and keep them for some time

Ushauri wangu, DO NOT ENTERTAIN IT, COZ FOR A WOMAN NI KUJIPIGA LOCK TU

Dah aksante Kamanda. This is a piece of something kwa kweli. The hard truth that all women who are in a forth-n-back relationships must know.
Aksante MTM
 
Mwanajamiione
Personally I believe inawezeka provided kuna clear lines as to what entails the said friendship relation.You need to make sure, that he is clear on what's acceptable and whats not. Also be ready to stand your ground as far as the consequences are concerned when and if the line is crossed.

Sidenote
Pole I know its easier said than done, but in the long run I think it's mighty important for the children's well being to have parents who are civil to each other
very good one,

Ila si lazima kuwa friends ili muwe civil... the most important ni kujua ramani ya kila mmoja... i would talk to her about kids, school, future plans, holidays of our kids but not inviting her around

Kwa kuanza kualikana mnaanza kuwanyima amani waliowazunguka, either new friends au hata ndugu

Usiombe ualike ex-wife halafu ndugu zako au wa mke mpya wawepo and watoto nao wawepo
 
Back
Top Bottom