is it possible 2 change faculty

merali

Member
Aug 31, 2012
30
4
hey jf members i need ur help pliz can u tell me about changing of faculty if pocble or not?
 
Funguka ww,hujasema coz ip,unayowsh kuhamia,chuo gan!ainisha hayo ndpo ushauriwe
 
chuo ni sua from horticulture 2 food science &technilogy

Kwa Sua usiwe na shaka hawana usumbufu kwenye kubadili, mkishafungua chuo, huwa kuna muda wanatoa kwa anayetaka kubadili couse..
 
Kwa Sua usiwe na shaka hawana usumbufu kwenye kubadili, mkishafungua chuo, huwa kuna muda wanatoa kwa anayetaka kubadili couse..

Hayo ni ya mwaka jana kurudi nyuma, kwa mujibu wa mwongozo wa tcu kuanzia mwaka huu kuendelea huruhusiwi kubadilisha program u're admitted in due to ur choice of preference. Source TCU Students guidebook 2012/13. Pia uliza baadhi ya wanao anza registeration kwani hii ni kwa vyuo vyote. Sababu ni kurahisisha utunzaji record kwa tcu.
 
Hayo ni ya mwaka jana kurudi nyuma, kwa mujibu wa mwongozo wa tcu kuanzia mwaka huu kuendelea huruhusiwi kubadilisha program u're admitted in due to ur choice of preference. Source TCU Students guidebook 2012/13. Pia uliza baadhi ya wanao anza registeration kwani hii ni kwa vyuo vyote. Sababu ni kurahisisha utunzaji record kwa tcu.

mkuu dah, mchango wako una logic nikiusoma, its sounds greaty.
 
Hayo ni ya mwaka jana kurudi nyuma, kwa mujibu wa mwongozo wa tcu kuanzia mwaka huu kuendelea huruhusiwi kubadilisha program u're admitted in due to ur choice of preference. Source TCU Students guidebook 2012/13. Pia uliza baadhi ya wanao anza registeration kwani hii ni kwa vyuo vyote. Sababu ni kurahisisha utunzaji record kwa tcu.

ila kuna chuo kama ifm kimetoa chance kwa wale ambao wamepangiwa course za computer science o it na walifeli hesabu olevel wanaweza wakabadilishwa course, so nadhani inategemeana na chuo husika, maana mwisho wa siku after registration vyuo vyote vinapeleka tena majina tcu kwa wote waliokuwa registred, na wale waliocorrespond + wasiokuwa registred, so mtoa mada usife moyo mpaka utafika chuoni.
 
Back
Top Bottom