Kumspy mwenzio ni abuse ya kimahusiano unatakiwa umwamini naye akuamini,mambo ya kuchunguzana kuanza kucheki mikoba au mifuko ya suruari,briefcase,hii yote ni aina ya unyanyasaji,mtu anapaswa awe huru,kama ni mwaminifu atakuwa mwaminifu tuu na kama sio anafanya kwa siri hakuonyeshi atakuwa amekupunguzia presha.
Maswala ya kupekuana yanaleta viugomvi visivyo na sababu we fikiri kila siku kuwe na maswali hii simu ya nani ,nani huyu umemuandikia message,hii picha ya nani na hihi na hivi ,spying a patner is unethical
Maswala ya kupekuana yanaleta viugomvi visivyo na sababu we fikiri kila siku kuwe na maswali hii simu ya nani ,nani huyu umemuandikia message,hii picha ya nani na hihi na hivi ,spying a patner is unethical