MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
- Thread starter
- #21
It is still ethical and i will go to extremes by saying that `its part and parcel of daily life!
Jamani, watu mbona wanapoagana asubuhi, mke na mume wanaambiana ....take care!!!
Ya nini hiyo kama mnaaminiana?
Mwache basi ajiendee kama unaamini atajilinda!
Kuspy ni muhimu mno, na linatakiwa kuwa zoezi endelevu!
Bila hivyo, wanawake watakuueni na maisha mnayapenda!
Pakajimmy mimi na wewe tunaongea lugha moja (isipokuwa hapo kwenye wekundu) si wanawake peke yao hata wanaume. Ungesema tu kuwa spouses wenu watawaueni lol
Kusema kweli nakuunga mkono kabisa yaani liwe zoezi endelevu mimi nafikiri zile methali za ukimchunguza bata sijui kuku kwa maisha ya sasa tuziache. ni wazee wetu peke yao walioweza kuishi maisha ya kutochunguzana kwa sababu the only fear they had ilikuwa ni mimba za nje na gono kama ugonjwa mkubwa wa zinaa. Na si zama zertu hizi ambazo uaminifu umepungua kwa kiasi kikubwa tena kwa wanawake na wanaume na magonjwa ya hatari zaidi yakiwa yametanda.
Jamani precaution is better than cure- especially ukiona dalili za kusalitiwa please shtuka, chunguza kuconfirm! (Nadhani kuna umuhimu wa kuanzisha private detective services specifically for uncovering the cheating spouses)