Kobello
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 8,635
- 7,918
- Thread starter
- #41
Hivi ndio vitu vilvyo practical,formula zako ziko very theoretical na hazitake into consideration the real life of tanzanians.Na hiyo quota policy unayozungumzia,is something that cant be practised in Tanzania so i dont see how can anybody paste tanzania over EU.Pia tatizo la wasomi wetu hawa practice tranfer of knowledge wao wana copy na ku paste bila kuangalia context..Kwa wenzetu wakisema quota policy ya maziwa mfano mwanafunzi anayesoma policy in agric and dev anaona hiyo chain katika uhalisia na anaweza ku trace maziwa kutoka farm mpaka supermarket hapo hapo kwao...sisi huku tunamfundisha mwanafunzi wetu mfano huo huo wa qota ya maziwa ya EU for example ila tu kwenye sehemu ya nchi tuna pachika jina la Tanzania. Inapokuja kwenye kuelewa basi craming capacity ndo inatofautisha wanafunzi wetu na siyo understanding and how applicable is that policy...So hiyo product ndo inakuja kuwa policy oficer wizarani ambaye ndiyo practical person akipewa assignment anachanganya craming aliyoifanya na kuongezea na google literatures alafu anapeleka policy document...ukiangalia kilicho andikwa humo na ambacho kinakuwa practiced on ground ni mbingu na dunia...So vitu vingi viko in abstract ukilinganisha theory na what we daily practice na ndiyo maana ukiona mtu anatoa mfano wa free market ni michanganyo kwa kwenda mbele...
That is the same thing mnayofanya sasa hivi,mnapunguza import tarrifs kumsaidia consumer?..and you support that?..and still wear combats like you are chavez/castro/...thats so weird!
What's so hard to understand?....a good government can always counter attack by helping the majority not the bussiness community.Bussiness tax breaks doesnt help the poor, it helps the rich.OKAY,now that sugar prices are stable,do you think you won?Hell naw! it's the bussiness community that won,but you wont understand that cos you are so stuck to that Eu crap!(oops! ma bad)