irregular period

dida_edi

New Member
Feb 18, 2007
1
0
Habari zenu ndugu zangu, kuna dada mmoja ana mtoto wa miezi sita na anamnyonyesha tatizo ni kwamba amekuwa anachelewa kuingia katika siku zake anaweza kufika hata siku 39 na siku ya 40 ndo akaingia huu ni mweze wa pili aningia namna hiyo nini tatizo kama kuna mwenye kujua naomba munieleweshe.
ahsanteni
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom