vivian
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 1,749
- 1,000
Jamani Wauza mafuta Iringa wameanza Mgomo Rasmi Leo, Ni kiyuo kimoja tu cha MT ndio wanauza mafuta, Foleni usiseme tena.
Jamani hii serikali inatupeleka wapi sasa, Mgao wa umeme, tumeenda kwenye magenarator sasa mafuta hamna!!!
JK. sikia kilio chetu popote ulipo. Achana na hao UWURA hawana lolote, wanapewa mshahara na hao hao wauza mafuta.
Jamani hii serikali inatupeleka wapi sasa, Mgao wa umeme, tumeenda kwenye magenarator sasa mafuta hamna!!!
JK. sikia kilio chetu popote ulipo. Achana na hao UWURA hawana lolote, wanapewa mshahara na hao hao wauza mafuta.