tanga kwetu
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 2,193
- 1,434
.....wazee wa buku 7 si walisema CDM ndio walimuua?
Mimi ni mmoja wapo aliyesikitishwa mno na kifo cha Mwangosi sana.Ila piani muhimu kuwa wakweli. As he was alive after just one second akawa amefariki so sad kwa wazazi, kwa mke, watoto, na familia yake kwa ujumla. Tuseme ukweli hamna hata mmoja anayemzungumzia kamanda anayeonekana pichani akiwazuia polisi wengine wasimpige let alone kumuua. Hivyo haiingii akilini kusema kuwa kuna makamamnda waliamrisha auawe. Ni sababu gani sijui ya kufikiria kuwa kuna watu waliotuma auawe. Marehemu Mwangosi alikuwa humble sijui kosa gani lingefanya mtu aseme auawe. Ni uzembe mkubwa sana na kitu kibaya sana alichofanya yule askari ambaye anaonekana alijiamulia tu mwenyewe na siamini kabisa kama alitumwa na mtu. R.I.P Mwangosi na polisi wahakikishe jambo hili halijirudii kwani hamna kitu kibaya kama kutoa roho ya mtu tena alikuwa heless na wala haikutakiwa nguvu kubwa kiasi kile katika kumdhubiti.Haki itaonekana imetendeka kakamilifu pale makamanda wa polisi walioamuru hayo mauaji yafanyike watakapoletwa mbele ya sheria.
Loo! Ndugu zake wakate rufaa. Huu ni utani. Mbona yeye tu? Waliotoa mari vipi?Hukumu kwa Askari aliyekutwa na hatia ya kumuua bila kukusudia Mwandishi Mwangosi ni leo tarehe 27/7/2016.
Hukumu hiyo ambayo hasa itahusu adhabu anayostahili Askari husika itasomwa na Jaji Kihwelo wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Iringa.
========= Updates ========
MAHAKAMA kuu ya Tanzania kanda ya Iringa leo imemhukumu kwenda jela miaka 15 askari wa kikosi cha kutuliza ghasia (FFU) mwenye namba G .2573 Pacificius Cleophace Simon (27) aliyemuua mwandishi wa habari Daudi Mwangosi wa kituo cha Chanel Ten.
View attachment 371781
Mbona kweny tukio wapo weng kwann atajwe mmoja?Hukumu kwa Askari aliyekutwa na hatia ya kumuua bila kukusudia Mwandishi Mwangosi ni leo tarehe 27/7/2016.
Hukumu hiyo ambayo hasa itahusu adhabu anayostahili Askari husika itasomwa na Jaji Kihwelo wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Iringa.
========= Updates ========
MAHAKAMA kuu ya Tanzania kanda ya Iringa leo imemhukumu kwenda jela miaka 15 askari wa kikosi cha kutuliza ghasia (FFU) mwenye namba G .2573 Pacificius Cleophace Simon (27) aliyemuua mwandishi wa habari Daudi Mwangosi wa kituo cha Chanel Ten.
View attachment 371781
Mimi ni mmoja wapo aliyesikitishwa mno na kifo cha Mwangosi sana.Ila piani muhimu kuwa wakweli. As he was alive after just one second akawa amefariki so sad kwa wazazi, kwa mke, watoto, na familia yake kwa ujumla. Tuseme ukweli hamna hata mmoja anayemzungumzia kamanda anayeonekana pichani akiwazuia polisi wengine wasimpige let alone kumuua. Hivyo haiingii akilini kusema kuwa kuna makamamnda waliamrisha auawe. Ni sababu gani sijui ya kufikiria kuwa kuna watu waliotuma auawe. Marehemu Mwangosi alikuwa humble sijui kosa gani lingefanya mtu aseme auawe. Ni uzembe mkubwa sana na kitu kibaya sana alichofanya yule askari ambaye anaonekana alijiamulia tu mwenyewe na siamini kabisa kama alitumwa na mtu. R.I.P Mwangosi na polisi wahakikishe jambo hili halijirudii kwani hamna kitu kibaya kama kutoa roho ya mtu tena alikuwa heless na wala haikutakiwa nguvu kubwa kiasi kile katika kumdhubiti.
Kwanza mi nashangaa hii kesi miaka yote hiyo duuuu!!!Hakika huu ni utani, kwanza ilipinduliwa toka mauaji ya kukusudia mpaka mauaji ya bila kukusudia. Ni bora wangemuachia huru tu huyo askari ili nyoyo za wale waliomtuma zizidi kufurahi.
Bush lawyers at workAma kweli maskini hana haki yani jamaa wameua tena kwa kusudia, tena tukio linanekana dhahiri anafungwa miaka 15 tena mmoja..nahisi nae anaenda kula bata tu.
Una macho lakini? Huu mtutu unapouelekeza kwa mtu kinachofuata ni nini? Jinga wewe.Angetumwa angesema. Umeshaambiwa aliua bila kukusudia halafu unasema ametumwa?
Miaka 15? hapo ramani ya maisha yake na yeye imeshapotea. Ni vyema watumishi wa umma mkajifunza kufanya kazi na kujihurumia ninyi na familia zenu msidhani mtakua watumishi for good
Ni faraja kidogo kwa Familia ya marehemu kuona haki imetendeka,japo inaonekana ni adhabu ndogo lakini itakua fundisho kwa hawa wengine wanaonyanyasa Raia kila kukicha kwa amri ambazo wanapokea sijui kutoka wapi....
Wengi bado hamuelewi ni kwa nini Mrema kapewa bodi ya Parole licha ya kukosa sifa ya kijaji, soon mtaelewa sisemi mengi.Hatimae haki imetendeka, miaka 15 si haba. Shukrani sana mitandao ya kijamii, mashirika ya haki za binadamu kwa kulipigia kelele hili suala.
Nami nashangaa kwanini wengine hawakuitwa hata wakapata miaka michache,hasa ukinzingatia kuwa mwangosi hakuwa na silaha wala hakuwa kishari?Mbona kweny tukio wapo weng kwann atajwe mmoja?
Hii ndio tz yetuNami nashangaa kwanini wengine hawakuitwa hata wakapata miaka michache,hasa ukinzingatia kuwa mwangosi hakuwa na silaha wala hakuwa kishari?
Haki itaonekana imetendeka kakamilifu pale makamanda wa polisi walioamuru hayo mauaji yafanyike watakapoletwa mbele ya sheria.