huo ni udaku mpaka ukachungulie uione chupi.sasa umetusaidia mawazo gani? haijengi.mwache dada wa watu akipatie upepo kijaluba.kwanza ilikuwa ni function ya usiku.
sidhani kama inaweza kuwa chupi na kama ni chupi basi dudu yake ni nene sana lakin kwa mwanamke akikaa kama alivyo kaa iren na unene wake wa kwenye mapaja co rahisi kuona chupi aliyovaa
Naweza kuamini kuwa ni kitambaa cha mkono tena kwa asilimia mia kwa sababu mara nyingi wadada wakivaa mavazi kama haya waliovaa yenye rangi nyeusi lazima wabebe vitamba vyeupe vya kufutia jasho au uwenda ikawa ni tishu....ila siyo chupi au uwenda ni kitambaa cha meza aliyokalia kwa sababu kumetandikwa kitambaa cheupe....ni mtizamo wangu wandugu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.