wala huhitaji kuangalia sinema zao, ungekuwa bongo kila uchao utawaona kwenye magazeti ya udaku front pg na heading kuuuuuuuuuuubwa na utaisoma hiyoo!!!
Bro anafaidi kwakweli japo hayupo alone......Irene Uwoya.... Kwa kweli anavutia.
huyo kaka wa chini kasahau kuwa hiyo ni starehe, nini kujikakamua hivyo?
Uwoya yupo simple... naona anaji-dunga NDOVU!!! Angelikuwa Celebral mwingine angekunywa Savannah...
hapa naona wako vizuri, full mahabati ma-lav-dav. All the best
huyo kaka wa chini kasahau kuwa hiyo ni starehe, nini kujikakamua hivyo?
Ni kweli mkuu .... ukiitazama sana hiyo picha nadhani kuna kitu unakipata hapo hasa ukimuangalia shemeji yetu ... seems mambo si shwari ... au labda siku hiyo tu kaupepo kabaya kalipita si unajua tena mambo ya ndoa ... mabonde na milima ni kawaida!!!
Irene Uwoya....
Kwa kweli anavutia.
kupata burudani na kuachana nae nadhani zaidi,ila kitabia mh bado sijamsoma vizuri!Anavutia nini? Kuwa mke? Au kupata burudani na kuachana naye?!