Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
Mie nadhani kwao wako so aggresive kwa asili katika kazi.
Angalia hata dada yake na mdogo wake.
Mtu kazi, na ni kazi kweli
Ila sio wanasiasa
I feel sorry for her too, angebaki kwenye private sector tu
Angalia hata dada yake na mdogo wake.
Mtu kazi, na ni kazi kweli
Ila sio wanasiasa
I feel sorry for her too, angebaki kwenye private sector tu
my point ni kwamba alitaka kupanda juu zaidi in professional/career ladder... na hiyo imeaffect jina lake negatively, ile nafasi ina siasa, hata wakati wa mchujo ilikua na vita kubwa hivyo kwenye mazingira kama hayo lazima upiganiwe na wanaokupigania wengine lengo lao ni kupata japo nafasi za biashara
hayo ni mabwabwajo yangu, no need to be speechless.... did you have any speech???:wacko::wacko: