MNDEE
JF-Expert Member
- Jul 10, 2009
- 491
- 68
Zile teteze zilizotolewa na New York Times mwaka jana zimekuwa confirmed.
Hatimae Marekani na Israeli wamefanikisha mkakati wao wa muda mrefu wa kuishambulia mitambo ya nuclea ya Iran kwa kirusi (ABC News). Detail chache nilizodaka kirusi ambacho ni 'sleeper' kinamefanikisha kuwarudisha Irani nyuma kitechnologia miaka kadhaa. Wahabarishaji hawakueleza baada ya shambulizi la kwanza kirusi kitakapoamka kitafanya nini.
Hatimae Marekani na Israeli wamefanikisha mkakati wao wa muda mrefu wa kuishambulia mitambo ya nuclea ya Iran kwa kirusi (ABC News). Detail chache nilizodaka kirusi ambacho ni 'sleeper' kinamefanikisha kuwarudisha Irani nyuma kitechnologia miaka kadhaa. Wahabarishaji hawakueleza baada ya shambulizi la kwanza kirusi kitakapoamka kitafanya nini.