Iranian Elections: Ahmedinejad's Victory and The Aftermath!

bbc dakika chache zilizopita walikuwa wakionyesha live raia wakiwavamia polisi na kuvunja vitu mbali mbali katika jiji la tehran. Hawa ni wale ambao hawakuridhika na matokeo ya uchaguzi huo. Nchi za magharibi pia zitakuwa zimepigwa na butwaa kwani nyingi zilikuwa hazitaki kuona 'mkorofi' ahamadinejad akirudi tena madarakani.

hao magharibi ni raisi yupi wa irani alikuwa kwao wao si mkorofi ?

Bali bali anaeabudu umagharibi kwao ndio mzuri na anaepinga umagharibi basi huyo ni gaidi .....idiot.
 
huyu dr ahmedinajad ni mtu asiyekuwa na makuu unapozungumzia maisha yake binafsi. Waandishi wa habari wamekuwa wanafuatilia sana suti anazovaa na wamegundua kwamba ana majaketi kama matatu tu anayobadilisha kila mara. Pia inaelezwa kuwa anaishi katika nyumba ya urithi ya babu yake, nyumba ya kawaida tu kwani amekataa katakata kuishi katika jumba rasmi la rais.

Aidha inaelezwa kuwa hupendelea kulala sakafuni, na siyo kitandani -- lakini pengine hii ni kutokana na matatizo ya kiafya. Gari yake binafsi ni peugeot 504 ya miaka 70.

Anaongoza mojawapo ya nchi tajiri sana, utajiri utokanao na mafuta. Hebu fikiria bongo yetu hii ndiyo ingekuwa iran kwa utajiri huo -- jinsi viongozi wake wangekuwa wanavyojitanua kwa mapesa ya wananchi!!!


labda kwa kuongezea tu ndugu ahmedinajad ni ntu mwenye msimamo wa maamuzi lakini pia ni mtu wa watu kwa raia wake subiri usikie hutuba yake baada ya ushindi ndio itakuwa ushahidi.
 
hivi vigezo gani vinatumika kuruhusu baadhi ya nchi kuwa na silaha za nuclear na nyingine kutokuwa nazo?na nani hasa ana hayo mamlaka ya kuamua na anayapataje??


naomba mumjibu ndugu...kwani watu wengi sana wamehoji hili swali hadi obama alikiri kuwa haya si halali!

Obama ameahidi nchikubwa zianze kupunguza kwanza nuclear zao halaf ndio zile ndogo.
 
WHY IRAN, KOREA NUCLEAR AND NOT ISRAEL.............?

[ame=http://www.youtube.com/watch?v=JcTk6ktyOpM]YouTube - Pres Jimmy Carter Confirms *ISRAEL HAS 150 NUCLEAR WEAPONS![/ame]





HUU NDIO UNAFIKI WA KIMAGHARIBI UNASABABISHA INCHI NYINGINE ZIONE UKWELI NA UNAFIKI ULIOPO.
 
Mashabiki wa Mousavi ambao wengi wao ni vijana wamamua kuingia mitaani kupinga ushindi wa Ahmadinejad na kudai kuwa kulikuwa na ukiukaji wa taratibu za kupiga kura wakati huo huo Mousavi amemuomba Ayatollah Ali Khamenei atengue matokea.
610x.jpg

610x.jpg

610x.jpg

610x.jpg
 
slide_1753_23648_large.jpg

Supporters of Mousavi gather on the streets of Tehran to protest the election results.

slide_1753_23647_large.jpg

Iranian riot police clear away the remains of burning debris.

slide_1753_23645_large.jpg

Mousavi supporters engage in running battles using stones and petrol bombs against police


slide_1753_23646_large.jpg

A supporter of Iranian reformist presidential candidate Mir Hussein Mousavi burns a poster of hard line president Mahmoud Ahmadinejad.

slide_1753_23623_large.jpg

An Iranian woman cries near the headquarters of presidential candidate Mousavi

slide_1753_23625_large.jpg

 

hao ndio waarabu bana,watu pekee duniani ambao linapokuja suala la kudai haki na kutetea imani zao wanaweza kutia timu na kisu kwenye mpambano wa bunduki..hihihihiiii,safi sana....
binafsi namkubali sana Ahmadinejad..msimamo wake unafurahisha sana!suala la Marekani na washirika wake kutaka kujifanya askari wa dunia halikubaliki kabisa,ndio hivyo tu wengine hatuna 'mbavu',lakini wanakera sana wanapotembelea kila kiumbe duniani kichwani kwa manufaa yao tu..
 
hao ndio waarabu bana,watu pekee duniani ambao linapokuja suala la kudai haki na kutetea imani zao wanaweza kutia timu na kisu kwenye mpambano wa bunduki..hihihihiiii,safi sana....
binafsi namkubali sana Ahmadinejad..msimamo wake unafurahisha sana!suala la Marekani na washirika wake kutaka kujifanya askari wa dunia halikubaliki kabisa,ndio hivyo tu wengine hatuna 'mbavu',lakini wanakera sana wanapotembelea kila kiumbe duniani kichwani kwa manufaa yao tu..

Hebu fikiria mwera ana rungu, pepper spray na bunduki lakini mwanamume
bado anajiingiza kichwa kichwa.Kweli watu wanadai haki yao si utani.

Cheki hii nyengine mwera amekamatwa na raia...

slide_1753_23650_large.jpg
 
This is plainly propaganda from the west, if they dönt like you they crash you..Big up Ahmedinejad, show them how to lead a country.we tired of the west showin us how to live our lives
 
Hebu fikiria mwera ana rungu, pepper spray na bunduki lakini mwanamume
bado anajiingiza kichwa kichwa.Kweli watu wanadai haki yao si utani.

Cheki hii nyengine mwera amekamatwa na raia...

slide_1753_23650_large.jpg

Mkuu nilikuwa naangalia picha hizi za fujo za Iran nimebaki hoi, maana naona vijana hawakuogopa cha pepper spray au mambomu ya machozi wameamua kuingia mtaani kudai haki yao.

Kama mnakumbuka waliomuingiza madarakani Ayatollah Khomeini walikuwa wanafunzi wa vyuo vikuu na vijana waliandamana mpaka utawala wa Shah Pahlavi ukatoka madarakani sasa mambo yamegeuka.
Hii ngoma haina mkono wa nchi za magharibi wala nini hapa ni mambo ya wanaotaka mabadiliko na wale wasiotaka.
 
mkuu nilikuwa naangalia picha hizi za fujo za iran nimebaki hoi, maana naona vijana hawakuogopa cha pepper spray au mambomu ya machozi wameamua kuingia mtaani kudai haki yao.

Kama mnakumbuka waliomuingiza madarakani ayatollah khomeini walikuwa wanafunzi wa vyuo vikuu na vijana waliandamana mpaka utawala wa shah pahlavi ukatoka madarakani sasa mambo yamegeuka.
Hii ngoma haina mkono wa nchi za magharibi wala nini hapa ni mambo ya wanaotaka mabadiliko na wale wasiotaka.

bush pia aliposhonda watu waliandamana tena uchi au umesahau
 
Hivi yule kiongozi wa Iran aliyekuja Juzi juzi Bongo alifuata nini vile?, Sound like alikuja chukua mikoba ya jinsi ya kuiba kura, maana malalamiko ya Ahmedinaajad's rival ni kwamba hata kwenye jimbo lake kashindwa vibaya kitu ambacho kisingewezekana.
Unakumbuka ya John Cheyo na Bariadi?
 
Hivi yule kiongozi wa Iran aliyekuja Juzi juzi Bongo alifuata nini vile?, Sound like alikuja chukua mikoba ya jinsi ya kuiba kura, maana malalamiko ya Ahmedinaajad's rival ni kwamba hata kwenye jimbo lake kashindwa vibaya kitu ambacho kisingewezekana.
Unakumbuka ya John Cheyo na Bariadi?


Haha umenifurahisha sana. Could be quite true. Kinachonifurahisha ni jinsi the saying "Power is Corruptive" ulivyo na ukweli. Hakuna mtu anataka kuachia madaraka akishayashika. Wizi wa kura bwana ni sooo.

Alafu inanifurahisha sana watu wanapoongelea swala la bush kuiba kura 2000. Ile ishu ya Florida ilikuwa more complicated than just your pure wizi wa kura. Kama unataka kujua data zake zaidi ningekushauri uangalie hii documentary: "Recount". Sio 100% factual but it goes a long way in telling the story behind it all. Ishu ilikuwa ni jinsi ya kuhesabu kura. Anyway...At least Bush was approved by the Supreme Court...
 
BBC News Online

Defeated Iranian presidential candidate Mir Hossein Mousavi has joined a huge rally against the result of last week's election, defying a government ban.

AFP news agency said Mr Mousavi told a crowd of tens of thousands in Tehran he was ready to take part in a new poll.

Mr Mousavi, who was making his first public appearance since Friday's vote, believes results were rigged in favour of President Mahmoud Ahmadinejad.

Mr Ahmadinejad has dismissed the claims and says the vote was fair.

The demonstrators gathered in Tehran's Revolution Square, chanting pro-Mousavi slogans as riot police stood by.

"Mousavi we support you. We will die, but retrieve our votes," they shouted, many wearing the green of Mousavi's election campaign.

And Mr Mousavi eventually appeared, addressing the crowd from the roof of his car.

"The vote of the people is more important than Mousavi or any other person," he told his supporters.

Before Mr Mousavi arrived, Reuters reported that his supporters had scuffled with stick-wielding men on motorcycles - apparently supporters of the president.

Following two days of unrest, the interior ministry warned earlier on Monday that "any disrupter of public security would be dealt with according to the law".

'Unacceptable' force

The renewed protests come after Mr Mousavi and fellow defeated candidate Mohsen Rezai filed official complaints against the election result with the Guardian Council - the country's powerful clerical group.

POST-POLL CRACKDOWN
More than 100 opposition figures arrested, including the brother of ex-reformist President Khatami.
Local and international phone and text message services interrupted
Social networking and newspaper websites blocked
BBC says "heavy electronic jamming" from inside Iran disrupts its Persian TV service
International journalists arrested and asked to leave
Iranian newspapers do not carry reports of the violence
Source: Various reports


Editors' blog: Stop the jamming
Internet brings events to life
John Simpson's view
Challenge to republic
State television reported that supreme leader Ayatollah Ali Khamenei, who has upheld the election result, urged the Guardian Council to "precisely consider" the complaints.

A spokesman for the 12-member council said they would meet Mr Mousavi and Mr Rezai on Tuesday. They are expected to decide on the complaints by next week.

Dozens of opposition activists have been arrested since the protests began, while internet sites appear to have been blocked and the media heavily restricted.

A number of countries have expressed concern at the conduct of the election and the subsequent clampdown.

EU foreign ministers expressed "serious concern" and called for an inquiry into the conduct of the election.

France and Germany have summoned their Iranian ambassadors to explain what happened.

German Chancellor Angela Merkel criticised the use of "completely unacceptable" force against protesters.

"We are worried about the limitations of media coverage and we believe there should be a transparent evaluation of the election result. There are signs of irregularities," she said.

Groups of Ahmadinejad supporters gathered outside French and British embassies in Tehran, protesting against what they consider to be foreign interference in Iran's affairs.

"We have gathered here to protest the hidden interference of the Brits and the world, who are trying to create chaos in our country," one protester said.

Among the countries congratulating Mr Ahmadinejad on his victory were Iraq, Afghanistan, Venezuela and North Korea.
 
Kuna thread za uchaguzi wa Iran, si ungepost kule, mods tafadhali tunaomba mziunganishe hizi thread.
 
This is plainly propaganda from the west, if they dönt like you they crash you..Big up Ahmedinejad, show them how to lead a country.we tired of the west showin us how to live our lives

0615091541_M_061509_protests2.jpg



June 15: Hundreds of thousands of supporters of leading opposition presidential candidate, Mir Hossein Mousavi

Mkuu smatta, na hawa wanatoka wapi USA au UK ?



 
Back
Top Bottom