Iran Will Never Seek Nuclear Weapons: Leader

X-PASTER

JF-Expert Member
Feb 12, 2007
11,610
1,810
Iran Will Never Seek Nuclear Weapons: Leader

"Sanctions have been in place since the victory of the Islamic Revolution while the nuclear issue is a matter of the past few years; therefore their (the West) real problem is with a nation that has decided to be independent."


Leader of the Islamic Revolution Ayatollah Seyyed Ali Khamenei says the Iranian nation has never sought and will never seek nuclear weapons as it has the capacity to challenge the nuclear-backed influence such powers rely on.


In a Wednesday meeting in Tehran with the director and officials of the Atomic Energy Organization of Iran (AEOI) and nuclear scientists the Leader described the country’s nuclear and technological achievements further in line with national interests and beneficial for the future of the country.


“The Iranian nation has never pursued and will never pursue nuclear weapons,” said Ayatollah Khamenei.


“There is no doubt that the decision makers in the countries opposing us know well that Iran is not after nuclear weapons because the Islamic Republic, logically, religiously and theoretically, considers the possession of nuclear weapons a grave sin and believes the proliferation of such weapons is senseless, destructive and dangerous


“If nations are allowed to independently make progress in the fields of nuclear energy, aerospace, science, technology and industry, there will be no room left for the tyrannical dominance of world powers,” said the Leader.


“Sanctions have been in place since the victory of the Islamic Revolution while the nuclear issue is a matter of the past few years; therefore their (the West) real problem is with a nation that has decided to be independent

source:
By Press TV
 
the west wont trust them-
why didnt they allow observers into their plants?
Ni sehemu nyeti za kijeshi...Iran wana haki ya kuruhusu au kukataa kuruhusu.

Lakini Iraq waliruhusu timu za Hans Blix, Scooter na matokeo yake yalikuwa yepi?

US na Israel ambao wenyewe wanamiliki silaha za nyuklia, ambao pia hawaruhusu ukaguzi wa plants,sites zao wanapata wapi kiburi na jeuri kutaka kuipekua nchi wanayoishuku tu?

Ripoti zote zilizotoka mpaka sasa hakuna inayoitia hatiani Iran kuwa ina mpango wa wa kuunda silaha za kinyuklia. Ni propaganda zaidi kuliko ukweli.

Lakini hata kama Iran itatengeneza silaha za nyuklia, tatizo liko wapi? Ukiwa na nyuklia, unaheshimika.

Angalia Gaddafi alipoacha mpango wa nyuklia..Saddam pia....hata Korea ya Kaskazini kama sio uwezo wao wa nyuklia leo tungekuwa tunazungumza "marehemu" Korea ya Kaskazini.

Nchi pekee ambayo imetumia mabomu ya nyuklia ni USA....na US-NATO wanatumia silaha zenye depleted uranium katika maeneo wanayoyahujumu na sehemu wanazoingia kivita. Na sio Iran!

Tumepigwa bao na propaganda za US-NATO.
 
Ni sehemu nyeti za kijeshi...Iran wana haki ya kuruhusu au kukataa kuruhusu.

Lakini Iraq waliruhusu timu za Hans Blix, Scooter na matokeo yake yalikuwa yepi?

US na Israel ambao wenyewe wanamiliki silaha za nyuklia, ambao pia hawaruhusu ukaguzi wa plants,sites zao wanapata wapi kiburi na jeuri kutaka kuipekua nchi wanayoishuku tu?

Ripoti zote zilizotoka mpaka sasa hakuna inayoitia hatiani Iran kuwa ina mpango wa wa kuunda silaha za kinyuklia. Ni propaganda zaidi kuliko ukweli.

Lakini hata kama Iran itatengeneza silaha za nyuklia, tatizo liko wapi? Ukiwa na nyuklia, unaheshimika.

Angalia Gaddafi alipoacha mpango wa nyuklia..Saddam pia....hata Korea ya Kaskazini kama sio uwezo wao wa nyuklia leo tungekuwa tunazungumza "marehemu" Korea ya Kaskazini.

Nchi pekee ambayo imetumia mabomu ya nyuklia ni USA....na US-NATO wanatumia silaha zenye depleted uranium katika maeneo wanayoyahujumu na sehemu wanazoingia kivita. Na sio Iran!

Tumepigwa bao na propaganda za US-NATO.
mkubwa mkubwa tu-USA anataka heshima yake
 
Ni sehemu nyeti za kijeshi...Iran wana haki ya kuruhusu au kukataa kuruhusu.

Lakini Iraq waliruhusu timu za Hans Blix, Scooter na matokeo yake yalikuwa yepi?

US na Israel ambao wenyewe wanamiliki silaha za nyuklia, ambao pia hawaruhusu ukaguzi wa plants,sites zao wanapata wapi kiburi na jeuri kutaka kuipekua nchi wanayoishuku tu?

Ripoti zote zilizotoka mpaka sasa hakuna inayoitia hatiani Iran kuwa ina mpango wa wa kuunda silaha za kinyuklia. Ni propaganda zaidi kuliko ukweli.

Lakini hata kama Iran itatengeneza silaha za nyuklia, tatizo liko wapi? Ukiwa na nyuklia, unaheshimika.

Angalia Gaddafi alipoacha mpango wa nyuklia..Saddam pia....hata Korea ya Kaskazini kama sio uwezo wao wa nyuklia leo tungekuwa tunazungumza "marehemu" Korea ya Kaskazini.

Nchi pekee ambayo imetumia mabomu ya nyuklia ni USA....na US-NATO wanatumia silaha zenye depleted uranium katika maeneo wanayoyahujumu na sehemu wanazoingia kivita. Na sio Iran!

Tumepigwa bao na propaganda za US-NATO.

Mkuu, nakubaliana na wewe kwamba mataifa yote duniani yana haki zake. Lakini kosa kubwa walilofanya wairani ni kule ku-declare kwamba Israel has no right to exist, kitu ambacho kinamaanisha kwamba wakipata nuklia siku moja wataifuta kwenye uso wa dunia. Hapo ndipo ugomvi walipoukuza. Huwezi kufanya declaration kama hiyo ukitarajia Israel wenyewe na USA wakuangalie tu unatengeneza nuklia za kuja kuwamaliza. Hata kama ningekuwa mimi ndo mataifa hayo siwezi kukuacha.
 
Mkuu, nakubaliana na wewe kwamba mataifa yote duniani yana haki zake. Lakini kosa kubwa walilofanya wairani ni kule ku-declare kwamba Israel has no right to exist, kitu ambacho kinamaanisha kwamba wakipata nuklia siku moja wataifuta kwenye uso wa dunia. Hapo ndipo ugomvi walipoukuza. Huwezi kufanya declaration kama hiyo ukitarajia Israel wenyewe na USA wakuangalie tu unatengeneza nuklia za kuja kuwamaliza. Hata kama ningekuwa mimi ndo mataifa hayo siwezi kukuacha.
hilo sawa ndo wanaiwekea vikwazo tena wameisha chelewa kwa sasa israel ipo kwenye hatari itakapoanzisha vita na iran . Kama ulisha sikia ndio defeated ya israel na marekani watakapo anzisha vita. Mgogoro huu wa syria uliopandikiizwa naisrael. Ili izraeli ipate nafasi nzuri na kuwa salama lakini watu wamestuka.
 
the west wont trust them-
why didnt they allow observers into their plants?

Edo,

Hivi hata kama ni ubabe kweli unaweza kumruhusu mwanaume mwenzako aja achunguze mpaka chupi za mkeo...:A S embarassed:

Unakumbuka Mwalimu aliwaambia nini wale waandishi wa habri pale uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyata?:A S-coffee:
 
Mkuu, nakubaliana na wewe kwamba mataifa yote duniani yana haki zake. Lakini kosa kubwa walilofanya wairani ni kule ku-declare kwamba Israel has no right to exist, kitu ambacho kinamaanisha kwamba wakipata nuklia siku moja wataifuta kwenye uso wa dunia. Hapo ndipo ugomvi walipoukuza. Huwezi kufanya declaration kama hiyo ukitarajia Israel wenyewe na USA wakuangalie tu unatengeneza nuklia za kuja kuwamaliza. Hata kama ningekuwa mimi ndo mataifa hayo siwezi kukuacha.
Mkuu
Kauli hii ni sawa na ile kauli ya Gaddafi iliyotumika kama propaganda kuwa anakusudia ku-massacre wabengazi(genocide).
Ukweli ni kuwa Gaddfi alitoa msamaha kwa wale watakaoweka silaha chini na alisema jeshi litarejesha amani libya kwa kuwashughulikia waliobeba silaha. Jikumbushe hapa jinsi propaganda ya US- NATO inavyotufunga magoli kiulaini https://www.jamiiforums.com/interna...f-colonel-muamar-gadaffi-245.html#post2430583

Lakini jiridhishe hapa hii kauli ilivyowekwa kipropaganda https://www.jamiiforums.com/interna...sraels-right-to-self-defence.html#post2892768
 
Ni sehemu nyeti za kijeshi...Iran wana haki ya kuruhusu au kukataa kuruhusu.

Lakini Iraq waliruhusu timu za Hans Blix, Scooter na matokeo yake yalikuwa yepi?

US na Israel ambao wenyewe wanamiliki silaha za nyuklia, ambao pia hawaruhusu ukaguzi wa plants,sites zao wanapata wapi kiburi na jeuri kutaka kuipekua nchi wanayoishuku tu?

Ripoti zote zilizotoka mpaka sasa hakuna inayoitia hatiani Iran kuwa ina mpango wa wa kuunda silaha za kinyuklia. Ni propaganda zaidi kuliko ukweli.

Lakini hata kama Iran itatengeneza silaha za nyuklia, tatizo liko wapi? Ukiwa na nyuklia, unaheshimika.

Angalia Gaddafi alipoacha mpango wa nyuklia..Saddam pia....hata Korea ya Kaskazini kama sio uwezo wao wa nyuklia leo tungekuwa tunazungumza "marehemu" Korea ya Kaskazini.

Nchi pekee ambayo imetumia mabomu ya nyuklia ni USA....na US-NATO wanatumia silaha zenye depleted uranium katika maeneo wanayoyahujumu na sehemu wanazoingia kivita. Na sio Iran!

Tumepigwa bao na propaganda za US-NATO.

una point lakini lets assume Nonda is Israel na Iran kishasema aliyosema lazima akufute,then leo anatengeneza nuclear bomb,wat u gon do? for me hakuna discussion hapo ninge attack ASAP akiwa bado non nuclear kuliko kuja kukutana naye baadaye akiwa na nuclear,can you imagine saddam angekuwa nalo yule mtu aliyevamia na kuichukua Kuwait,je waarabu wenzake wangepona?nina uhakika leo ungekuwa unalipa oil dola 1000$
 
una point lakini lets assume Nonda is Israel na Iran kishasema aliyosema lazima akufute,then leo anatengeneza nuclear bomb,wat u gon do? for me hakuna discussion hapo ninge attack ASAP akiwa bado non nuclear kuliko kuja kukutana naye baadaye akiwa na nuclear,can you imagine saddam angekuwa nalo yule mtu aliyevamia na kuichukua Kuwait,je waarabu wenzake wangepona?nina uhakika leo ungekuwa unalipa oil dola 1000$

wewe unadhani iran atapiga nuklia israel,hawzi kwasbb anajua kwanza atawa wa palestina na yeye atapigwa.kuwa na nyuklia ni kuogopwa kama ilivyo north korea.nani atampiga??? kwasbb na yeye atarudishia.sadam asingepiga nuklia.kama unadhani hivyo mbona hakuiharibu kuwait ?bali alivunja utawala tu.


kitu ambacho marekani anataka nikurudisha ushaa,na hii ndio lengo tangu 1979.
 
"Every time we do something you tell me
America will do this and will do that . . . I
want to tell you something very clear: Don't
worry about American pressure on Israel.
We, the Jewish people, control America, and
the Americans know it."
-- Israeli Prime Minister, Ariel Sharon,
October 3, 2001.
 
Edo,

Hivi hata kama ni ubabe kweli unaweza kumruhusu mwanaume mwenzako aja achunguze mpaka chupi za mkeo...:A S embarassed:

Unakumbuka Mwalimu aliwaambia nini wale waandishi wa habri pale uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyata?:A S-coffee:
swala la kuchunguza-sometimes ubabe unasaidia-maana kama una strong army then unashindwa kuitumia-lazima utakuiwa unajiandalia mwisho wako-nazani ndicho usa anachofanya

Ureno, spain, UK , Roman empire, Ottoman empire pia ziliwahi kuwa "mkubwa". Ukubwa ukitumika visivyo, huwa ni kujitengenezea mporomoko!

thats right bro-ila kipindu kile kulikuwa na "wakubwa" wengi na wengi wao walikuwa thirst for war and expansion-hapo ndo ilipowaumiza
 
una point lakini lets assume Nonda is Israel na Iran kishasema aliyosema lazima akufute,then leo anatengeneza nuclear bomb,wat u gon do? for me hakuna discussion hapo ninge attack ASAP akiwa bado non nuclear kuliko kuja kukutana naye baadaye akiwa na nuclear,can you imagine saddam angekuwa nalo yule mtu aliyevamia na kuichukua Kuwait,je waarabu wenzake wangepona?nina uhakika leo ungekuwa unalipa oil dola 1000$

Kwa habati njema Nonda is not Israel na Iran hajasema ataifuta Israel. Iran amesema Zionist regime ita-collapse!...Lost in translation?

Usikubali propaganda tu...pitia hii link na links zilizo ndani yake https://www.jamiiforums.com/interna...snt-want-inspectors-to-see-3.html#post3425291
 
Back
Top Bottom