Iran will blow up the heart of Israel!!!

Halafu ndugu zako wakikung'utwa utasema mnaonewa. Hivi wewe umeshindwa kujiuliza, kwanini Israel mpaka hii leo haiwalazi usingizi wafuasi wa allah?!!

Israel hii, imezungukwa na mujahidina kila kona, lakini wameshindwa kuigusa!
Tutajua baada ya vita hiyo kutokea nani atakung'utwa kwasasa nikuomba itokee basi...maneno matupu hayana maana kila siku wanatambishiana ..let them go to war..atakayeshinda amheshimu jirani yake na akae kwa adabu..
 
Sadam naye alikuwa anatisha na alikuwa anatamba hivi hivi hadi dakika ya mwisho wakati majeshi ya Marekani yanakaribia Baghdad! Walimkamatia shimoni akidai eti anataka ku-negotiate na bado alikuwa Rais wa Iraq! Haka ka Ahmedinejad nako kaendelee kubwatuka katakaposhtukia kwamba Tehran imekuwa "Hiroshima" ya Mashariki ya Kati!
Nafikiri alietoa tamko ni mkuu wa majeshi na sio Raisi wa Irani ,hivyo yeye mkuu wa majeshi atakuwa anaijua zaidi hali ya kijeshi kuliko Raisi mwenyewe na ikiwa vita hiyo itafumka itakuwa tofauti na ile ya Iraq ,Iran imefanya test kibao za missile na imefanya mazoezi kibao ya kivita ,na kama utakumbuka Marekani alimsaidia MuiRaq katika vita yake na Iran ni miaka mingi vilipiganwa.
Leo hii mambo mengi yamebadilika na taaluma ya kijeshi imepatikana zaidi kutoka Urusi na China na pia kutoka Korea ,sasa Iran hajasema kama atashinda ikiwa vita itatokea lakini alichosema ataivuruga Israel na kama unatambua ni juzijuzi tu Muisrael alitolewa kamasi na Hizbullah chama cha wakulima wazalendo ambao wamejiweka na kujilinda bila ya kutumia jeshi la serikali.
Kama haitoshi Muiraqi alichangiwa na nchi karibuni zote za dunia katika kumpiga lakini leo hakuna nchi ipo tayari kuungana na Marekani katika kutekeleza ujeshi wake ,matatizo kwa waliojiunga na marekani hadi leo yanaendelea ,marekani peke yake hawezi kupigana japo amesheheni silaha kama alivyosheheni Muiraqi ,hilo linatokana na moyo wa yule unaepigana nae ,Irani watapigana wote kwa kulinda nchi yao ,ingawa Mmarekani anatafuta kundi litakaloweza kufanya hujma ndani ya Iran na kuanzisha upinzani ikiwa kutazuka patashika ili aweze kuwatumilia kama alivyofanya Iraqi kwa kuwatumilia mashia na makurdi kumwangusha Saddam ambae ni Sunni ,jambo ambalo Muirani amefanikiwa kulidhibiti kwa kutopatikana kundi hilo.
Hivyo ikiwa patafumka vita Hizbullah ataunganisha makundi ya Mpalestina nayo yataunganisha bila kusahau mujahedeen ambao ni wapenzi wa vita tunafahamu walikwenda Iraaq wapo Afghanistani na wanatoka sehemu mbalimbali za dunia.
 
Tutajua baada ya vita hiyo kutokea nani atakung'utwa kwasasa nikuomba itokee basi...maneno matupu hayana maana kila siku wanatambishiana ..let them go to war..atakayeshinda amheshimu jirani yake na akae kwa adabu..

Lakini msilalamike, maana mmesha CHAPWA VIBOKO MARA NYINGI SANAAAA.

Mtoto analilia wembe, wee acha mchezo weye, huyo Muiran, si ndio anaye wasaidia Hebolah wale wa mpakani! Mbona wanaogopa mpaka hii leo!

Wewe unasema kitu ambacho hujuwi undani wake. Pole sana.
 
Tutajua baada ya vita hiyo kutokea nani atakung'utwa kwasasa nikuomba itokee basi...maneno matupu hayana maana kila siku wanatambishiana ..let them go to war..atakayeshinda amheshimu jirani yake na akae kwa adabu..

Mkuu Tumain heshima mbele.

Kabla ya kuomba vita itokee inakupasa kwanza kujua historia ya vita baina ya Israel na waarabu.Hapa jamvini linapokuja suala la misimamo kuhusiana na mambo ya waarabu au dini Tumain unajulikana uko upande gani.Bila shaka vita ikitokea baina ya Israel na Iran utapenda Iran ishinde vita kitu ambacho hakiwezekani.

Bwana Tumaini usiombe vita itokee kwasababu utabaki na majozi moyoni,ngoja nikupatie historia fupi ya vita baina ya Israel na waarabu muzee.

[1] Six day war ilianza mwaka 1967[vita ya siku sita].Nchi tisa za kiarabu [Syria,Misri,Jordan,Iraq,Saudi Arabia,Sudan,Morroco,Tunisia na Algeria] kwa pamoja ziliishambulia Israel lakini mwisho wa vita vilivyochukua siku sita Israel iliibuka mshindi.

[2]Yom Kippur war ilianza mwaka 1973,Misri na Syria ziliishambulia Israel na baadaye nchi za Saudi Arabia,Kuweit na Libya zikajumuika kuishambulia Israel.Kwa mara nyingine tena mwisho wa vita Israel ilibuka mshinda tena ikateka maeneo muhimu kama Golan Heights mpaka leo Syria wamebaki wanalilia kurejeshewa eneo hilo muhimu katika medani ya vita.

Mkuu Tumain nimekumegea mifano miwili tu ambayo imeonyesha wazi jinsi Israel ilivyoweza mara zote kuzishinda nchi za kiarabu tena zilizoungana dhidi yake sasa kama una akili nzuri nchi ya Iran pekee yake ikijaribu kutia pua Israel bila shaka matokeo utakuwa umeshayajua kabla vita unayomba itokee.

Israel si taifa lelemama laiti lingekuwa taifa legelege mbele ya mataifa ya kiarabu yenye utajiri mkubwa wa mafuta lingeshafutwa siku nyingi katika uso wa dunia.Jaribu kufungua atlas utaone Israel ni taifa lililozungukwa na waarabu kila upande lakini bado limeweza kujitetea na hii ni sababu tunaona watu wajinga kama Mahmoud Ahmedinejad hawataki kujifunza historia ya mashariki ya kati.
 
Natamani hiyo vita itokee ...na tuone nani anasema ukweli...waiting to see. Basi israel wasisubiri mpaka Amhadinajd aondoke ...wapige sasa hivi halafu tuone hiyo retaliation itakayotoka Irani...

Acha ushabiki wa hivyo Tumaini, vita sio mechi ya kandanda, kuna damu na roho za watu hapo
 
Mkuu Tumain heshima mbele.

Kabla ya kuomba vita itokee inakupasa kwanza kujua historia ya vita baina ya Israel na waarabu.Hapa jamvini linapokuja suala la misimamo kuhusiana na mambo ya waarabu au dini Tumain unajulikana uko upande gani.Bila shaka vita ikitokea baina ya Israel na Iran utapenda Iran ishinde vita kitu ambacho hakiwezekani.

Bwana Tumaini usiombe vita itokee kwasababu utabaki na majozi moyoni,ngoja nikupatie historia fupi ya vita baina ya Israel na waarabu muzee.

[1] Six day war ilianza mwaka 1967[vita ya siku sita].Nchi tisa za kiarabu [Syria,Misri,Jordan,Iraq,Saudi Arabia,Sudan,Morroco,Tunisia na Algeria] kwa pamoja ziliishambulia Israel lakini mwisho wa vita vilivyochukua siku sita Israel iliibuka mshindi.

[2]Yom Kippur war ilianza mwaka 1973,Misri na Syria ziliishambulia Israel na baadaye nchi za Saudi Arabia,Kuweit na Libya zikajumuika kuishambulia Israel.Kwa mara nyingine tena mwisho wa vita Israel ilibuka mshinda tena ikateka maeneo muhimu kama Golan Heights mpaka leo Syria wamebaki wanalilia kurejeshewa eneo hilo muhimu katika medani ya vita.

Mkuu Tumain nimekumegea mifano miwili tu ambayo imeonyesha wazi jinsi Israel ilivyoweza mara zote kuzishinda nchi za kiarabu tena zilizoungana dhidi yake sasa kama una akili nzuri nchi ya Iran pekee yake ikijaribu kutia pua Israel bila shaka matokeo utakuwa umeshayajua kabla vita unayomba itokee.

Israel si taifa lelemama laiti lingekuwa taifa legelege mbele ya mataifa ya kiarabu yenye utajiri mkubwa wa mafuta lingeshafutwa siku nyingi katika uso wa dunia.Jaribu kufungua atlas utaone Israel ni taifa lililozungukwa na waarabu kila upande lakini bado limeweza kujitetea na hii ni sababu tunaona watu wajinga kama Mahmoud Ahmedinejad hawataki kujifunza historia ya mashariki ya kati.

Exellent and impeccable exhibit.
 
Exellent and impeccable exhibit.


MaxShimba na Ngongo, hebu semeni tukusikilizeni.

Kama unavyoonesha mwenendo wa mambo ni kwamba vita hivi vinalazimishwa kwa waIran katika utaratibu uleule kama vilivyolazimishwa kwa waIraq kwa pretext zile zile za uongo, ubabe, unafiki, na uroho. Zaidi ni kijicho dhidi ya taifa ambalo halina historia ya kulichokoza taifa lolote, jirani au la mbali, isipokuwa lililoweka "priority" zao "right" kwa maslahi ya Taifa lao, maendelea katika sekta za elimu, technologia, na maendeleo yao ya kijamii bila ya kujisahau na kuacha maendeleo sambamba katika imani yao.

Kama vita inalazimishwa dhidi yao, mlitaka nyinyi wasemejeeeeeeee???? Je kama ingekuwa ni nyinyi ambao dhulma inaelekezwa kwenu, what stand would you take????. Hebu semeni tukusikilizeni, tukutambueni ni wanaume wa namna gani nyinyi?????

Watu wote wana roho, na hata wababe wana woga. Mashujaa wanaposimama kuitetea haki, huitamani akhera kuliko Waroho wanavyosimamia batili wanavyoipenda dunia na fahari zake za muda. Mashujaa ni wenye kuona mbali na waroho na waongo ni vipofu.

Wanyonge wanasema, vita hii innevitable, hivyo bora itokee tujue moja, je nyinyi wababe mnasemaje?
 
Natamani hiyo vita itokee ...na tuone nani anasema ukweli...waiting to see. Basi israel wasisubiri mpaka Amhadinajd aondoke ...wapige sasa hivi halafu tuone hiyo retaliation itakayotoka Irani...

Tumain nafikiri hujasoma vizuri amani ya Middle East. Kwanza unatakiwa kujua kuwa mbali na Israel kuwa expert wa vita na kuwa na silaha bora zaidi kutoka US Military Industrial Complex pia Israel tayari ina vichwa kama 300 vya Nuclear bombs (Nuclear war heads) of which only one is capable of crippling Iran.

Lakini la kuhofia zaidi ni utabiri huu [ame="http://video.google.com/videoplay?docid=3213449483968654266"]http://video.google.com/videoplay?docid=3213449483968654266[/ame] Huenda any of the action you are praying for will be the start of WWIII
 
Mkuu Tumain heshima mbele.

Kabla ya kuomba vita itokee inakupasa kwanza kujua historia ya vita baina ya Israel na waarabu.Hapa jamvini linapokuja suala la misimamo kuhusiana na mambo ya waarabu au dini Tumain unajulikana uko upande gani.Bila shaka vita ikitokea baina ya Israel na Iran utapenda Iran ishinde vita kitu ambacho hakiwezekani.

Bwana Tumaini usiombe vita itokee kwasababu utabaki na majozi moyoni,ngoja nikupatie historia fupi ya vita baina ya Israel na waarabu muzee.

[1] Six day war ilianza mwaka 1967[vita ya siku sita].Nchi tisa za kiarabu [Syria,Misri,Jordan,Iraq,Saudi Arabia,Sudan,Morroco,Tunisia na Algeria] kwa pamoja ziliishambulia Israel lakini mwisho wa vita vilivyochukua siku sita Israel iliibuka mshindi.

[2]Yom Kippur war ilianza mwaka 1973,Misri na Syria ziliishambulia Israel na baadaye nchi za Saudi Arabia,Kuweit na Libya zikajumuika kuishambulia Israel.Kwa mara nyingine tena mwisho wa vita Israel ilibuka mshinda tena ikateka maeneo muhimu kama Golan Heights mpaka leo Syria wamebaki wanalilia kurejeshewa eneo hilo muhimu katika medani ya vita.

Mkuu Tumain nimekumegea mifano miwili tu ambayo imeonyesha wazi jinsi Israel ilivyoweza mara zote kuzishinda nchi za kiarabu tena zilizoungana dhidi yake sasa kama una akili nzuri nchi ya Iran pekee yake ikijaribu kutia pua Israel bila shaka matokeo utakuwa umeshayajua kabla vita unayomba itokee.

Israel si taifa lelemama laiti lingekuwa taifa legelege mbele ya mataifa ya kiarabu yenye utajiri mkubwa wa mafuta lingeshafutwa siku nyingi katika uso wa dunia.Jaribu kufungua atlas utaone Israel ni taifa lililozungukwa na waarabu kila upande lakini bado limeweza kujitetea na hii ni sababu tunaona watu wajinga kama Mahmoud Ahmedinejad hawataki kujifunza historia ya mashariki ya kati.
Who cares??? wacha itokeee ndio tujue iran kapigwa na israel kashinda!!....msimamo wangu ndio huo..baada ya vita..hizo kelele..na historia..ni kutishia nyau"
 
Tumain nafikiri hujasoma vizuri amani ya Middle East. Kwanza unatakiwa kujua kuwa mbali na Israel kuwa expert wa vita na kuwa na silaha bora zaidi kutoka US Military Industrial Complex pia Israel tayari ina vichwa kama 300 vya Nuclear bombs (Nuclear war heads) of which only one is capable of crippling Iran.

Lakini la kuhofia zaidi ni utabiri huu http://video.google.com/videoplay?docid=3213449483968654266 Huenda any of the action you are praying for will be the start of WWIII
Heshima itarudi duniani...pengine
 
Tuache kuongea kishabiki, unafikiria leo hii vita ikitokea Iran anaweza kuipiga Israel?
 
Tuache kuongea kishabiki, unafikiria leo hii vita ikitokea Iran anaweza kuipiga Israel?
Unataka kuwa mtabiri? itokee ndio tutaona nani atashinda na nani atashindwa...maneno mengi ya nini?
 
Umeangalia hiyo documentary yote?, Maana vita hii itakuwa ni ya mwanzo na mwisho for our existence
Unaogopa kufa.? hebu zuia usife basi kabisa?...we will die anyway ...get prepared all the time.
 
Unaogopa kufa.? hebu zuia usife basi kabisa?...we will die anyway ...get prepared all the time.

Sound like wa FOE, kama ni hivyo mimi sikuwezi maana najua kuwa upo juu sana kwenye masuala kama haya, tunaita support documentless arguments!
 
Unaogopa kufa.? hebu zuia usife basi kabisa?...we will die anyway ...get prepared all the time.
What u smoke blood? I want some! Lugha hii nyekundu hapo ni maarufu kule middle east pande za Iraq na Afghanistan! Bro what's the matter with U?
 
Back
Top Bottom