jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,987
- 22,513
Viongozi wote waliowekwa na Bush Huko Iraki ni MASHIA AMBAO NDIO IRAN!
Na wakati wanafanya plans za kuivamia Iraki..walikuwa wamejificha Iran na wakisaidiwa na Muiran pamoja na BUSH!
Sasa wamechukuwa madaraka...Na kuna mmoja wao(Ambaye ndiye alikuwa apewe urais wa Iraki) alivamiwa huko iraki baada ya Saddam kuanguka na FBI kwani walidai anawapa wairan siri za USA...Huyu anakwenda kwa jina la Ahmad Challabi!
Lakini yeye kushtukiwa haina maana nawengine hawafanyi hivyo!
Na sidhani kama watapokea AMRI kutoka washington kwani sasa wanapokea amri kutoka Tehran na USA wanajuwa hilo kwani Iran inawapa kina Alsadr zile IED ambazo zinapenya kwenye humvee za wamarekani licha ya wao kutumia mabilioni ya dola kuzifanya zisipenyeze mabomu!
Hivyo basi...Kama vita ikianza...Iraki na Iran zitajiunga..Na lebanon!
Muisrael na yeye ana Nyuklia hivyo options zote ziko mezani!
Lakini hiyo haimaanishi kwamba watashinda kiulaini!
Na wakati wanafanya plans za kuivamia Iraki..walikuwa wamejificha Iran na wakisaidiwa na Muiran pamoja na BUSH!
Sasa wamechukuwa madaraka...Na kuna mmoja wao(Ambaye ndiye alikuwa apewe urais wa Iraki) alivamiwa huko iraki baada ya Saddam kuanguka na FBI kwani walidai anawapa wairan siri za USA...Huyu anakwenda kwa jina la Ahmad Challabi!
Lakini yeye kushtukiwa haina maana nawengine hawafanyi hivyo!
Na sidhani kama watapokea AMRI kutoka washington kwani sasa wanapokea amri kutoka Tehran na USA wanajuwa hilo kwani Iran inawapa kina Alsadr zile IED ambazo zinapenya kwenye humvee za wamarekani licha ya wao kutumia mabilioni ya dola kuzifanya zisipenyeze mabomu!
Hivyo basi...Kama vita ikianza...Iraki na Iran zitajiunga..Na lebanon!
Muisrael na yeye ana Nyuklia hivyo options zote ziko mezani!
Lakini hiyo haimaanishi kwamba watashinda kiulaini!