Iran kuleta madaktari 1,000 Tanzania

the iran government will want something in return,believe me..!
hakuna wakuzungwa hapa. Tayari nchi yetu imengia kwenye mgogoro wa kimya kimya na baraza la usalama wa mataifa(UN), pamoja na marekani na washirika wake," kuwa Tanzania inasajili meli za mafuta za Iran kusaidia ziuze mafuta duniani bila kutambulika, wakati ina Irani inatambulika kuwa na vikwazo vya kimataifa.Ni kichekesho kuona serikali inayotegemea bajeti yake ya maendeleo kupata misaada; huku inakorofisha jumuiya ya kimataifa , kwa msaada wa madaktari.au ndo kuuza uranium, ili tupate fedha ya madaktari.Itakuwa wendawazimu mno.Serikali yetu haina kiongozi bali yupo dhaifu sana, masuala ya kimataifa na diplomasia ya kiuchumi ina hitaji sera ya ulinganisho tusiwe kisiwa, kwa kutengwa
 
Bora waje kwa muda/hawa wetu wa kiTZ hawana wito wala moral obligations tena. Ni bora hospitali 'zisafishwe' tuanze afresh. Wayahudi, Wacuba, waSA, & wachina nao wataletwe kwa muda. Wasaidizi wanaweza kuwa 'crash-trained' kwa wiki moja tu (.. imewezekana kwa wasaidizi wa sensa).

:rant:
mdogo wangu amegive birth leo kwa bby gal! akili yako inazidiwa na yule mtoto by far! she can think wiser and wider than u, at least akisusu au kupupu she knows she has to cry! nonsense!
 
Mkuu wakati mwingine kukaa kimya ni bora zaidi angalia unavyomwa pumba kwanza ufahamu wako ni mdogo na akili ya ina ukubwa wa 1GB nani kakuambia Wairan ni Waarabu umeipata wapi? Iran ni nchi iliyopiga hatua kwa kila kitu.
GB 1 ni kubwa sana Ritz kb 10 labda. Hizi hoja ni za ovyo. Watu watuambie hapa ni kwa nini tuwakubali hawa madr au ni kwa nini tuwakatae. Ila anatakayejadili kibaguzi ni mshenzi tu. Dini, rangi, uarabu sio hoja hata kidogo
 
Wairan sio waarabu na wala hawaongei kirabu lugha yao ni persian. Kuna ubaya gani wao kuja huku madaktari wakisubiria CDM iingie madarakani maana inaweza kuchukua miaka zaidi ya 40.

Wamarekani hawawezi kutuchagulia marafiki Tanzania ni nchi huru. Matatizo yao na Iran ni ya kwao sisi hayatuhusu.
 
Kuna uhusiano gani kati ya vatican na iran kwenye hii hoja? Wote mnaojadili hii hoja kwa misingi ya dini mmegoma kufikiri. Toeni hoja ni kwa nini Wairan au ni kwa nini sio wairan. Udini hautujengi mr dominick. Na kwa mstaarabu yeyote hawezi kuufumbia macho


ni kweli udini haujengi, mimi nilinukuu suali la yule kijana aliyemjibu jamaa kuhusu udini wa uirani na uislamu
 
Wairan sio waarabu na wala hawaongei kirabu lugha yao ni persian. Kuna ubaya gani wao kuja huku madaktari wakisubiria CDM iingie madarakani maana inaweza kuchukua miaka zaidi ya 40.

Wamarekani hawawezi kutuchagulia marafiki Tanzania ni nchi huru. Matatizo yao na Iran ni ya kwao sisi hayatuhusu.
Kweli kabisa..mwakani bajeti yetu atafadhili Iran.
 
Muuaji wewe unacheza na afya za watanzania, sishangai kufikiri kwa aina hii kwani laana huondoa hata uwezo wa kufikiri.

This has proven to work in the past. Tulishawahi kuwa na RMAs na walikuwa trained in the same way. Na waliokoa maisha ya wengi. Ni bora kuliko kuendelea kutegemea hii miditaktari ambayo haina wito wala moral obligation.
 
mgeni anayekufaa ni bora kuliko ndugu asiyekufaa
"MSAMARIA MWEMA PARRABLE"
 
Hatukatai Wairaini wamendelea karibia kila sekta kuliko TZ an wala hatuangalii issue ya udini, ila kitu cha msingi ni kitu ambacho hakiingii akili kutatua hili suala kwa kuimport doctors. Sekta zote wakigoma utaimport wangapi?, hapa hawajamaa wanaweka maisha yetu rehani. Serikali inajua fika Irani inamgogoro na jumuia ya Kimatifa na bado ndo amekuwa mshiriki mkuu. Huu uhusiano wa ghafla kuna kitu kinaendelea!!!!!
 
Watanzania, ni vizuri tukajielewa sisi na nchi yetu. Naona wengine wetu tunawaabudu sana hawa wenye ngozi nyeupe. leo watakuletea drs. kesho watahitaji kitu.
Nafikiri ni vizuri tukakumbuka kwamba Watanzania ndiyo tunaoweza kutatua matatizo ya Tanzania, usitegemee mtu wa nje kuja kukutatulia matatizo yako.
Nchi hii ni kama nyumba isiyo na baba, kama kweli watu wa nje watakuja kututatulia matatizo yetu, basi ujue tumekwisha, maana tunmeudhihirishia ulimwengu kwamba sisi ni WADHAIFU
 
mdogo wangu amegive birth leo kwa bby gal! akili yako inazidiwa na yule mtoto by far! she can think wiser and wider than u, at least akisusu au kupupu she knows she has to cry! nonsense!

Thank you so much lady. Argument hapa ni kwamba ni bora kuliko kuendelea na hii miditaktari ambayo haina wito wala moral obligation. Hayo mengine ni udhaifu wako wa kudhani watu wote wanawaza kama wewe ..
 
This has proven to work in the past. Tulishawahi kuwa na RMAs na walikuwa trained in the same way. Na waliokoa maisha ya wengi. Ni bora kuliko kuendelea kutegemea hii miditaktari ambayo haina wito wala moral obligation.
Usikumbushe watu enzi za wonder drug, PPF ambayo hawa jamaa walikuwa wanawapa wagonjwa wa kila aina bila kutegemea anaumwa nini. Je unataka kuturudisha huko? kama watu walikuwa wanapona ni kudra za mwenyezi Mungu, hii sio era ya kutibiwa na RMAs.

Huku kufikiri kwa kutumia spinal cord ndio kunafanya mnakuwa na waalimu wa vodafasta matokeo yake kufeli kumeongezeka, sasa mnataka madaktari wa vodafasta, subiri kuongeza makaburi, na DHAIFU anavyopenda misiba, nadhani hili ndio lengo lake, watu wafe aende kuhani.
 
Back
Top Bottom