Iran kuleta madaktari 1,000 Tanzania

Mh, but nahisi ni rumor coz hao madaktari wa-iran wakija kufanya kazi huku bila malipo wala posho yeyote, ipo siku watalipiza kisasi. Ni bora tu wasije.
 
Some times hukaa nikaangalia maoni humu na kuangalia mawazo na akili za watu humu lakini nnachokiona ni ujinga mwingi na watu kujifanya kujua sana au kujiona kuwa na uchungu zaidi.Wengine wanaongea kiubaguzi zaidi na kudharau wengine.Ulalahoi wetu unatufanya kuropoka maneno mengine hayako katika ustaarabu.Nauhakika mtu mwenye elimu nzuri huwezi kuona anakoment maneno ya ajabu.Na ukitaka kujua mtu asie na elimu ni rahisi sana kwasababu hata historia au geographia haijui ila kwa kuja na confidence zaidi za mitaani.

By the way Iran au wairan sio waarabu na lugha yao tofauti na wala haifanani na kiarabu.Na kama ni kweli kwa sababu sisi walala hoi tunapenda kuzusha maneno,basi waje na vifaa ili wasaidie kuboresha hospitali zetu zilivo overcrowded na vingine vingi labda inaweza ikawa ni moja ya utatuzi wamambo ya afya.Lakini serikali tunaiomba tena tafadhali wamalize masuala haya na madocta wetu kwa haraka na wawarudishe kazini waje wasaidiane na hao wageni kuja kuboresha zaidi ili wananchi wafaidike.Kwani madocta wa Iran ni mahodari sana hata USA wapo wengi wanawatumia.Ni kutokujua tu au ushabiki zaidi kwasababu tumezoea kuona wazungu tu ndio wanasaidia Africa, maisha yanabadilika ndugu zangu kwani hata huko ulaya mbona wanao foreigners wengi wanaofanya kazi mahospitalini kwani mnadhani hawana akili?Wairan ni watu waliosoma sana na isitoshe wanafanya resarch za madawa hasa za Cancer ili ije isaidie dunia na kutokomeza magonjwa haya.Na kama kweli wanaharibu wanaume mbona makanisa ndio yanajulikana ulimwenguni kwa uchafu huu?Acheni mazungumzo baada ya habari.
umeanza vizuri lakini mwisho umeharibu kwa kushindwa kuficha chuki yako kwa kanisa...utamaduni wa kuharibu wanawake/wanaume kinyume na maumbile unajulikana unafanyika sana wapi na akina nani hapa tz...ukitaka kujua zaidi uliza mkunga yeyote kwenye hospitali zetu atakueleza ni wa akina mama/dada wa dini gani ndiyo wanaongoza kwa kuzaa kwa shidashida baada ya kufanyiwa sana hako ka mchezo ka nyuma...
 
Kuna tetesi kuwa nchi ya Iran imejitolea kuleta madaktari 1000 kukabiliana na mgomo wa daktari nchini. Madaktari hao hawatalipwa posho wala mishahara mpaka madaktari wa tz watakapositisha mgomo. Kama kuna mtu ana habari zaidi atujuze

Kama ni kweli,hii Iran itatuletea shida na ikumbukwe tamko la USA kwa raisi wa Tanzania.Me yangu macho.
 
Some times hukaa nikaangalia maoni humu na kuangalia mawazo na akili za watu humu lakini nnachokiona ni ujinga mwingi na watu kujifanya kujua sana au kujiona kuwa na uchungu zaidi.Wengine wanaongea kiubaguzi zaidi na kudharau wengine.Ulalahoi wetu unatufanya kuropoka maneno mengine hayako katika ustaarabu.Nauhakika mtu mwenye elimu nzuri huwezi kuona anakoment maneno ya ajabu.Na ukitaka kujua mtu asie na elimu ni rahisi sana kwasababu hata historia au geographia haijui ila kwa kuja na confidence zaidi za mitaani.

By the way Iran au wairan sio waarabu na lugha yao tofauti na wala haifanani na kiarabu.Na kama ni kweli kwa sababu sisi walala hoi tunapenda kuzusha maneno,basi waje na vifaa ili wasaidie kuboresha hospitali zetu zilivo overcrowded na vingine vingi labda inaweza ikawa ni moja ya utatuzi wamambo ya afya.Lakini serikali tunaiomba tena tafadhali wamalize masuala haya na madocta wetu kwa haraka na wawarudishe kazini waje wasaidiane na hao wageni kuja kuboresha zaidi ili wananchi wafaidike.Kwani madocta wa Iran ni mahodari sana hata USA wapo wengi wanawatumia.Ni kutokujua tu au ushabiki zaidi kwasababu tumezoea kuona wazungu tu ndio wanasaidia Africa, maisha yanabadilika ndugu zangu kwani hata huko ulaya mbona wanao foreigners wengi wanaofanya kazi mahospitalini kwani mnadhani hawana akili?Wairan ni watu waliosoma sana na isitoshe wanafanya resarch za madawa hasa za Cancer ili ije isaidie dunia na kutokomeza magonjwa haya.Na kama kweli wanaharibu wanaume mbona makanisa ndio yanajulikana ulimwenguni kwa uchafu huu?Acheni mazungumzo baada ya habari.

nchi hizo unazo sema hazipokei dr kwa kuwa wewe ulisomea u dr, lazima ufanye mitihani yao iliwakuone kweli unaweza, jingine ni suala la lugha, sisi tunatumia kiswahili sasa sijui hao waajemi watazungumza kiajemi au kiingereza.
na hizo research unazo sema mbona sijawahi sikia dawa ya malaria toka huko au ya tb kwa kuanzia ? au hiyo ya cancer. na kama kufanya research ni uonyesha mtu alivyo endelea unatakiwa kujua hata bongo tunafanya research nyingi tu ziwe za ukimwi , cancer mpaka kwenye eneo la kilimo
 
the iran government will want something in return,believe me..!


Mkuu, I presume you're right.

There was a thread posted in JF a few days ago alleging that Iranian super tankers are flying Tanzania flag to avoid recognition.
So, may be this is in return to the flag favour, though I still can't believe that TZ government could commit such a diplomatic blunder.
 
Who will take the charge and responssibility of 1. Interviewing and certifying their competency.

2. Who will do induction for at least tanzanian culture and work area.

3. If the strike will go on, for how long the free doctors will be available

4. What are the motives behind this Iranian support.

Poor presidaa is draging the nation towards internation grave of sanctions
 
Hii ni mbaya sana, Tanzania inaitegemea zaidi west kuliko Iran ambayo yenyewe ina maadui wengi na uchumi wao sio wa kusababisha sisi tu-trade off na west.

Currently kuna mgogoro wa ki diplomasia kati ya Tanzania na Marekani juu ya Oil Tankers za Iran zilizosajiliwa Zanzibar.Kitendo cha kupokea madaktari hao toka Iran,katika international politics kita tuma signal mbaya kwa marekani.

Njia pekee ni serikali kukaa mezani na madaktari,serikali iwe serious.Kuleta madaktari toka nje sio suluhisho kwa sababu tatizo la msingi katika sekta yetu ya afya ni mazingira duni ambayo hata hao wa iran watakumbana nayo (ndio maana tunatibu watu wetu india kwa sababu mazingira yetu na vifaa ni duni).Serikali ingechukua juhudi za makusudi kupandisha bajeti ya afya kufikia asilimia 15% kama wanavyopendekeza madaktari.

Serikali inatakiwa iwe tayari kusikiliza watu wake.Wakati mwingine kujishusha.Huu ubabe wa serikali utatufikisha mbali na pabaya zaidi.

Athari za kuwa leta wa Iran ni kubwa sana ora hata ingekuwa nchi nyingine.
 
Some times hukaa nikaangalia maoni humu na kuangalia mawazo na akili za watu humu lakini nnachokiona ni ujinga mwingi na watu kujifanya kujua sana au kujiona kuwa na uchungu zaidi.Wengine wanaongea kiubaguzi zaidi na kudharau wengine.Ulalahoi wetu unatufanya kuropoka maneno mengine hayako katika ustaarabu.Nauhakika mtu mwenye elimu nzuri huwezi kuona anakoment maneno ya ajabu.Na ukitaka kujua mtu asie na elimu ni rahisi sana kwasababu hata historia au geographia haijui ila kwa kuja na confidence zaidi za mitaani.

By the way Iran au wairan sio waarabu na lugha yao tofauti na wala haifanani na kiarabu.Na kama ni kweli kwa sababu sisi walala hoi tunapenda kuzusha maneno,basi waje na vifaa ili wasaidie kuboresha hospitali zetu zilivo overcrowded na vingine vingi labda inaweza ikawa ni moja ya utatuzi wamambo ya afya.Lakini serikali tunaiomba tena tafadhali wamalize masuala haya na madocta wetu kwa haraka na wawarudishe kazini waje wasaidiane na hao wageni kuja kuboresha zaidi ili wananchi wafaidike.Kwani madocta wa Iran ni mahodari sana hata USA wapo wengi wanawatumia.Ni kutokujua tu au ushabiki zaidi kwasababu tumezoea kuona wazungu tu ndio wanasaidia Africa, maisha yanabadilika ndugu zangu kwani hata huko ulaya mbona wanao foreigners wengi wanaofanya kazi mahospitalini kwani mnadhani hawana akili?Wairan ni watu waliosoma sana na isitoshe wanafanya resarch za madawa hasa za Cancer ili ije isaidie dunia na kutokomeza magonjwa haya.Na kama kweli wanaharibu wanaume mbona makanisa ndio yanajulikana ulimwenguni kwa uchafu huu?Acheni mazungumzo baada ya habari.
Tanzania itajengwa na watanzania wenyewe kwa kupendana, kukaa meza moja na kuacha porojo na kushabikia watu wa mataifa mengine. Ukiona nchi imeendelea au ukiona watu wamesoma na kuelimika ni kwa sababu viongozi wao waliamua kukaa pamoja na watu wanaowaongoza wakajadiliana na kupeana mikakati ya namna ya kutatua matatizo yao. Hili la kushabikia nchi au watu kuja (awe mzungu, mwarabu au muasia) kufanya kazi halina ubishi ni kwa sababu ya interests za viongozi wetu na si kwa maslahi ya nchi.
 
Black Bat

kuna watu wajinga jinga wajinga tu hata ukimwambia wewe mjinga basi anacheka tu...sasa iran na waraab wapi na wapi
ujinga tu
inajulikana wazi chadema sasa ni chama cha wachaga na wakristo kutoka na post za humu ndani na zina voshabikiwa
sasa azma yenu ya kuingia ikulu sujui itafikiwa vipi kama mna chuki na kila chenye chembe ya uislam ?
naona hio itakua ndoto issiyo wezekana hata kwa miaka mia moja.
basi tuwaombe vatican waje na madaktari wao waje kusaidia kuokoa maisha ya watanzania..hofu yangu hao kutoka vatican kwa kulawiti ndio wameshika nafasi ya mwanzo na kwa utamu wengine wamehalalisha ushoga....utamu wa kuharibu na kuwalawiti vijana wa kiume..haya

wacheni chuki za dini na kejeli mna kazi kubwa ya kufikia lengo lenu
 
Last edited by a moderator:
Kuna tetesi kuwa nchi ya Iran imejitolea kuleta madaktari 1000 kukabiliana na mgomo wa daktari nchini. Madaktari hao hawatalipwa posho wala mishahara mpaka madaktari wa tz watakapositisha mgomo. Kama kuna mtu ana habari zaidi atujuze

nadhani itakuwa uwongo kwakufikiria tu, pia hata kama wakija ndo vifaa vya kufanyia vipimo vitatengamaa? Au wao wamefungwa ya kupimia watu?
 
Back
Top Bottom