Waende zanzibar..bara hatuwataki!source press tv
serikali ya iran imejitolea madaktari 1000 kuja nchini tanzania na hawatalipwa chochote hadi hapo mgomo utakapopata suluhisho na iran imesema yenyewe imepiga hatua sana kwenye sekta ya afya na haiwezi kuona serikali rafiki yake inaangamia
Hivi kwa nini Iran inajipendekeza hivi kwetu!? hapo kuna kitu lazima! is it a pay back after the embargo??
Hivi kwa nini Iran inajipendekeza hivi kwetu!? hapo kuna kitu lazima! is it a pay back after the embargo??
source press tv
serikali ya iran imejitolea madaktari 1000 kuja nchini tanzania na hawatalipwa chochote hadi hapo mgomo utakapopata suluhisho na iran imesema yenyewe imepiga hatua sana kwenye sekta ya afya na haiwezi kuona serikali rafiki yake inaangamia