Tango73
JF-Expert Member
- Dec 14, 2008
- 2,128
- 1,225
sawa hata mimi nasikitika sana kwa kifo chake. Ila mbona mafanikio yake ya kijamii ambayo kama ni mazuri hayatajwi?
Mchangiaji anasema alikuwa mtu wa watu halafu hafafanui wala hata kutaja mafanikio yake. Nakupa mfano mtu anaposema mtu wa watu. Ehud Barak ambaye kwa sasa ni waziri mkuu-1972 akiwa na miaka 19 aliwaokoa waisrael 200 waliokuwa ndani ya ndege ya sabena iliyotekwa nyara mjini tel aviv. 1973 alikuwa shujaa , aliongoza vizuri kikosi cha vifaru na ni mmoja wa makomando waliosababisha kukomboa mfereji huo. Mwaka 1976 alishiriki katika kikosi cha makomandoo wa Israel walikwenda kuwaokoa ndugu zao pale entebe. Yeyey ndiye aliyechukua uongozi mara baada ya netanyahu kupigwa risasi. hapo alipata medali ya ushujaa pale entebe. Hapo nimekufafanulia vizuri sifa za Ehud na hata wewe mwenyewe umemfahamu vizuri na kumpenda.
Sasa unapotaka watu tukuunge mkono kuhusu Ippy na ushujaa wake huna budi kufafanua accomplishments zake kwa umma. kama ni nzuri, tupo tayari hata kumpatia jina katika mitaa mbali mbali ili akumbukwe daima.
Mchangiaji anasema alikuwa mtu wa watu halafu hafafanui wala hata kutaja mafanikio yake. Nakupa mfano mtu anaposema mtu wa watu. Ehud Barak ambaye kwa sasa ni waziri mkuu-1972 akiwa na miaka 19 aliwaokoa waisrael 200 waliokuwa ndani ya ndege ya sabena iliyotekwa nyara mjini tel aviv. 1973 alikuwa shujaa , aliongoza vizuri kikosi cha vifaru na ni mmoja wa makomando waliosababisha kukomboa mfereji huo. Mwaka 1976 alishiriki katika kikosi cha makomandoo wa Israel walikwenda kuwaokoa ndugu zao pale entebe. Yeyey ndiye aliyechukua uongozi mara baada ya netanyahu kupigwa risasi. hapo alipata medali ya ushujaa pale entebe. Hapo nimekufafanulia vizuri sifa za Ehud na hata wewe mwenyewe umemfahamu vizuri na kumpenda.
Sasa unapotaka watu tukuunge mkono kuhusu Ippy na ushujaa wake huna budi kufafanua accomplishments zake kwa umma. kama ni nzuri, tupo tayari hata kumpatia jina katika mitaa mbali mbali ili akumbukwe daima.