Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee kuna vitu vingine huwa tunavisema kwa ushabiki tu sasa anaposema CDM na CUF wa resign ana maana gani, ni upuuzi wa kitoto ni sawa na kusema CCM i resign, you have to be specific who is to resign not a political party. Labda ana maana ya chama kuvunjwa may be CCM i resign kuwa chama tawala I'm not clear on that.Mkubwa mie mbavu sina!!!!.....
I know this Waberoya is one of the Chadema Haters so I'm not surprised hebu angalia sababu zenyewe ni za kitoto kabisa huyu jamaa ana akili timamu kweli kuona wagonjwa kuna itikadiKwa hili nadhani mwanzilishi wa thread alikuwa na jazba na bahati mbaya sana lawama ameelekeza kusipotakiwa.
Mkuu huyu jamaa mimi namfahamu toka DARUSO lengo unalolidhania wewe si hilo ana lengo lake, ukitaka kujua lengo lake jaribu kufuatilia thread na posts zake ni mtu wa kuzushia watu, alimsingizia Zitto ana kiwanda cha kokoto, mara yeye ni Lecturer alipobanwa akasema anasoma masters US na mengine mengi ya kizushi, in short haaminiki is not reliable you cannot depend on.Mkuu Quinine tuwasaidie wapendwa wetu wa cdm kwa kuanza kukosoa mapema ili wajirekebishe na kufikia malengo kwa wakati.Alicho chokoza mwenzetu hakiichafui cdm bali kukijenga zaidi hasa wakati huu ambao ni wazi kuna mengi ya kuweka sawa ili kutimiza malengo.Unga mkono pale alipo sahihi na kosoa alipo kosea ili viongozi wa cdm waelewe msimamo wako na mawazo yako.nakuheshimu mkuu maana wewe ni Senior hapa.
Mkuu huyu jamaa mimi namfahamu toka DARUSO lengo unalolidhania wewe si hilo ana lengo lake, ukitaka kujua lengo lake jaribu kufuatilia thread na posts zake ni mtu wa kuzushia watu, alimsingizia Zitto ana kiwanda cha kokoto, mara yeye ni Lecturer alipobanwa akasema anasoma masters US na mengine mengi ya kizushi, in short haaminiki is not reliable you cannot depend on.
"Sijaona wala sifikirii kuwa kuna chama cha upinzani nchi hii chenye kubadili welekeo wa sasa wa maisha, kwenye mpira ukikosea kidogo tu basi adui anatosha kabisa kufunga goli, vyama vya siasa vikiwamo vile vinavyojiita mbadala au vikubwa havina tofauti na CCM kwa matendo, wakati JK anaenda kuona wagonjwa, viongozi wa vyama hivi nao wanaenda kuona wagonjwa! wakati JK anasema anaunda tume, vyama hivi vya siasa vinasema tume iundwe! wakati wananchi wanasema viongozi wajiuzulu, vyama vya siasa vinasema viongozi wajiuzulu!!!"
Webs, sijui profession yako wala level yako ya elimu ila naweza kukusoma kwa baadhi ya post zako humu JF kwa sababu we' ni mchangiaji mzuri. Nahisi ume-obey archemedes principle kwa hiki ulichokieleza hapo na inawezekana kikawa kime-displace sehemu kubwa ya akili na uelewa wako. Nasema hivi kwa sababu zifuatazo:
1. Inaonekana wewe ni mwepesi wa kuchoka, kukata tamaa, kukurupuka na pengine kutaka mambo kwa pupa. Hapa namaanisha: Baada tu ya taarifa ya milipuko kutinga bungeni, Mh. Mbunge mmoja wa CDM aliomba suala hilo lipewe nafasi na kujadiliwa bungeni kama hoja ya dharula. Spika akakataa hilo ombi, na pale kulikuwa na uwanja mpana wa kuhoji usiri wa hizi tume zinazoundwa na pengine ingetakiwa taarifa hizi ziletwe bungeni ili kila mwananchi ajue kama kulikuwa na uzembe na nani awajibike. Hiyo ndo ilikuwa nafasi ya mbunge wa CDM, ungekuwa wewe ungemtukana Mh. Spika..?
2. Wakati mwingine unakuwa sio mkweli. Nimewahi kusoma post yako humu JF ulipokuwa ukijadili kuhusu ushirikiano wa vyama vya upinzani. Ulisema CDM wamewahi kushirikiana na CCM kuiongoza manispaa ya Kigoma, kitu ambacho hakikuwa kweli, kwa sababu waliongoza kwa kupokezana na si kushirikiana. Hivyo, napata wasiwasi na hiki ulichokiweka hapa leo.
Mi si mwanasiasa wala si mwanaCDM ila ni mfuatiliaji wa siasa za 'haki na wajibu' kwa sababu ndizo zinazofanya amani, umoja, mshikamano na dira ya uchumi wa nchi.
Maneno yako ni mazuri sana aisee na yana kila chembe ya hamasa ya uzalendo. Hata hivyo naamini yako misplaced. Wanaotakiwa kuwajibika kwanza ni chama tawala in this case CCM. Wapinzani wanaweza kupiga kelele, wanaweza kusema na kusema wanaweza tatizo ni kuwa wanaotakiwa kuwajibika ni CCM. Mimi nafikiria ungetoa wito kwa wabunge wa CCM ambao kwa wingi wao ndio wana uwezo wa kubadilisha mwelekeo wa serikali ya wajiuzulu. Yaani wapinzani wajiuzulu halafu ndio chama tawala kijiuzulu? au wapinzani wajiuzulu halafu chama tawala kitawale pasipo upinzani?
Wrong number, Kikwete na serikali yake wanawajibika na wanapaswa kuwajibika kwa madudu yote yanayotokea chini yao. Vyama vya upinzani vitawajibika kwa kiwango kile tu ambacho kimo ndani ya uwezo wao kusababisha matokeo.
Licha ya kusema hayo nakubaliana na wewe kwa asilimia mia moja kuwa vyama vya upinzania na hasa Chadema vingeweza kuonesha kuwa kweli viko katika kuipa pressure serikali. Tatizo ni kama ulivyosema "hawajui siasa" na hiyo ni conclusion ambayo nakubaliana nayo kwani wangekuwa wanajua siasa kweli hakuna chama kilichopendelewa kwa matukio ya kisiasa kama Chadema. Na wameshinwa kuyatumia matukio hayo vizuri.
Mfano atoe wapi wakati amekurupuka kwa kutaka sifa post ndefu ka gazeti la mzalendo sijawahi sikia chama kimejiuzulu.Webs nitolee mfano popote duniani chama cha siasa (CUF, CHADEMA) kilichoamua kujiuzulu.