Ipo siku Ustaadhi Ilunga atasababisha damu imwagike nchini!

Status
Not open for further replies.
Ninatumia simu kwahiyo sijaweza kusikia anachosema ustadh ilunga lakini kwa aina ya mahubiri na mawaidha yanayofanywa na hawa wenzetu mtu hupati shida kung'amua kwamba lengo lao ni kutaka nchi yetu iingie katika vita ya kidini.
Na bahati nzuri kwao serikali ya alhaji kikwete imeamua kuwafumbia macho hawa jamaa wanavyozidi kuchochea chuki za kidini.

wewe ndio mchochezi mkuu pamoja na kundi lako huko mana mnahubiriana udini mkidhani hamsikiki wala hamuonekani.tunayajua sana kwa taarifa yako.mind you
 
Kikwete tutamkumbuka sana kwa UDINI.

udini umeletwa na slaa kwenye uchaguzi mkuu 2010. rejea taarifa ya siri ya maaskofu kutaka wakristo wote wamchague slaa na waumini wa kikristo waliotengwa kanisani kule sumbawanga kwa kuwa walichagua na kuunga mkono ccm...msiwafanye watu ni wajinga, myafanye nyie huko then msingizie wengine.kikwete tunamjua tangu akiwa kijana mdogo akiwa mbunge na waziri, tena ameanzia na unaibu waziri.angeonyesha huo udini kuanzia huko.....badilikeni mmeshajulikana
 
jamani tusîingize nchi kwenye machafuko tumuhukumu Ilunga kama individual
Kweli, kwa sababu ahkaam zilizopo kwenye Quran utakuta nyingi ni kwa ajili ya mamlaka kuzitekeleza na si kwa individuals.

Mfano; kishariah anayeua naye huuliwa; lakini hii sio juu ya kila Athumani, Issa au Bakari kutekeleza!
siwezi nikamuona muuaji anaua halafu nikamkamata na kumwambia kuwa wewe ni muuaji sasa ninakukamata na kukukata kichwa chako kutokana na aya hii au ile..hili ni kosa! kwa sababu ni mamlaka ya Kiislamu ndiyo inayotakiwa kufanya hivyo si juu ya kila Muislamu kujichukulia Shariah mikononi.

Vilevile Abu Dawud amekusanya Hadith ambayo Mtume SAW amekataza kuuliwa wanawake watoto huku makatazo ya mauaji ya Viongozi wa dini za Kikristo na Kiyahudi yakiwa ni maarufu!
Hata ibn Hiban anakusanya Hadith ya makatazo ya kuwaua walio katika nyumba za ibada.
Ahlul ilm wanatufahamisha kuwa makatazo haya ni wakati wa vita, sasa je katika wakati wa amani?!

Alichofanya Ustadh Ilunga ni ijtihad yake ya kuangalia mazingira, wahusika, hali yenyewe na kuangalia Quran halafu akatoa Fatwa.
Na Mufti (mtoaji Fatwa) si lazima awe sahihi, anaweza kuwa sahihi na anaweza kuwa amekosea katika Fatwa yake ile.
Hivyo Muislamu halazimishwi kufuata Fatwa anachotizama ni ukaribu wa Fatwa; je iko karibu na usahihi au iko karibu na kosa? ..halafu anachagua mwenyewe
 
Unatajka damu imwagike je Ndiyo ujue damu imemwagika? Au unataka yawe maujai ya KIMBARI ndio ujue kwamba damu imemwagika.

Matunda ya Alhaji Ilunga tumesha yashudua, tayari makanisa yanachomwa moto, mapdri wanapingwa risasi mchana kweupe.

Mtu anaye buy rhetoric eti UISLAMU NI DINI ya AMANI is MYOPIC. Islam is a religion of terror and violance. As far as UISLAMU utaendelea kuwepo hapa DUNIANI there will be no peace.
 
Mmesikiliza hyo vdio pary 1 na 2 au mnajamba tu hapa?
Ndio mana mnataka kumuweka padri slaa?
Mbona mkapa hamkusema n mchungaj? Achen ubaguz wakidin ogopen kuonea waislam kwakuwa wao wanafurahia kiifo kwenda kwa mungu na ndio mana hyo sheh kazikwa na dam zake kafa shahd kumbkn maneno ya osama,sadam na gadaf kuwa ata wakifa wao watazaliwa wakwel wengne
USA haina na rafk wa mtu wakudum ina maslah ya kudum na nchi ndichoo anachosema shehe
Mungu Mkubwa
Tyson,mohamed ali,maiko jako nk wanaiona njia ya kweli kama hery thiery baDo ww
 
Ukichunguza jina Ilunga Kapungu utakuta mhusika si Mkenya wala Mtanzania. Hawa ni washenzi na makafiri wanaopenyezwa na magaidi kuja kutuvuruga. Huyu akipotezwa si kitu cha kusikitisha bali kushangiliwa. This piece of shit must be gotten rid as soon as possible.

Ilunga Kapungu, machine kutoka Tabora kwa sasa anapatikana Mwanza, peleka malalamiko yako uhamiaji.
 
udini umewasaidia watu kujenga mahekalu, kupata uongoz, vyeo, nyadhifa n.k.. mtu akiulizwa utafanyaje kuondoa matatizo ya watu, wanasimulia wao ni dini gani, haya bhana.. TUTAVUNA TULICHOPANDA......! not very far frm.. things lyk.. Tanzania unrest..dash dash.. refugees frm tz, n.k. mchezo hatari xana xana!
 
Hivi kiongozi wa dini anasimama kuwahubiria watu wakaue watu wasio na hatia kwa uwazi namna hii lengo ni nini? Kudhalilisha dini yake au kudharau utawala uliopo?
huyu shekh ilunga ana kiu ya damu, muôngo kupindukia nakumbuka aliwahi kusema eti kuna msitu mkubwa pale rufiji wakristo wote wanaruhusiwa kukata miti na kuuza ila waislam hata wakisogea karibu na eneo hilo wanauawa!!
Mambo mengine sio ya dini ni ya mtu binafsi mwenye malengo fulani isipokuwa anatumia dini kutimiza hayo malengo yake..
 
Ninatumia simu kwahiyo sijaweza kusikia anachosema ustadh ilunga lakini kwa aina ya mahubiri na mawaidha yanayofanywa na hawa wenzetu mtu hupati shida kung'amua kwamba lengo lao ni kutaka nchi yetu iingie katika vita ya kidini.
Na bahati nzuri kwao serikali ya alhaji kikwete imeamua kuwafumbia macho hawa jamaa wanavyozidi kuchochea chuki za kidini.

Mkuu Mwita Maranya nashauri utazame na kusikia mwenyewe kinachosemwa humo. Nadhani hali yetu itakuwa mbaya kuliko Kenya muda si mrefu, kwa sababu wale tuliowaamini kutuamua wako bize na mikataba ya gesi. Nchi imekuwa ikiendeshwa na matukio, hakuna anayehangaika ku-foresee. Kwa hali hii siku si nyingi tutaanza kukimbiana mtaani tunakoishi.

Hizi ndio series za "mwanazuoni" Ilunga:









 
Last edited by a moderator:
Kilichonifurahisha kwenye video hii ni ile hali ya wasikilizaji wake kuonekana kutokukubaliana nae kwa sabbu naona tangu mwanzo mpaka mwisho sijasikia "takbiir''
 
sisi wapagani tunasubiri tu mtakavyoanza kuchapana mapanga maana hizi dini za kitumwa zinawavua utu sasa.
 
Mkuu Yahya Mohamed ni mwanafunzi wa Ilunga (video ya nne). Anadai alimcharaza bakora za kutosha tu pale Taqwa.
 
Last edited by a moderator:
Kweli, kwa sababu ahkaam zilizopo kwenye Quran utakuta nyingi ni kwa ajili ya mamlaka kuzitekeleza na si kwa individuals.

Mfano; kishariah anayeua naye huuliwa; lakini hii sio juu ya kila Athumani, Issa au Bakari kutekeleza!
siwezi nikamuona muuaji anaua halafu nikamkamata na kumwambia kuwa wewe ni muuaji sasa ninakukamata na kukukata kichwa chako kutokana na aya hii au ile..hili ni kosa! kwa sababu ni mamlaka ya Kiislamu ndiyo inayotakiwa kufanya hivyo si juu ya kila Muislamu kujichukulia Shariah mikononi.

Vilevile Abu Dawud amekusanya Hadith ambayo Mtume SAW amekataza kuuliwa wanawake watoto huku makatazo ya mauaji ya Viongozi wa dini za Kikristo na Kiyahudi yakiwa ni maarufu!
Hata ibn Hiban anakusanya Hadith ya makatazo ya kuwaua walio katika nyumba za ibada.
Ahlul ilm wanatufahamisha kuwa makatazo haya ni wakati wa vita, sasa je katika wakati wa amani?!

Alichofanya Ustadh Ilunga ni ijtihad yake ya kuangalia mazingira, wahusika, hali yenyewe na kuangalia Quran halafu akatoa Fatwa.
Na Mufti (mtoaji Fatwa) si lazima awe sahihi, anaweza kuwa sahihi na anaweza kuwa amekosea katika Fatwa yake ile.
Hivyo Muislamu halazimishwi kufuata Fatwa anachotizama ni ukaribu wa Fatwa; je iko karibu na usahihi au iko karibu na kosa? ..halafu anachagua mwenyewe
Sideeq,
Asante kwa ufafanuzi wako. Tentatively, unaonaje kama utapeleka ujumbe huu kw awingi (hasa kwa wenzako)?

Watu wenye kupotosha kama huyu Ilunga ni ninyi mlio na nafasi ya kwanza na pengine ya muhimu zaidi ktk kumrudisha kwenye njia. Ni majukumu ya kiraia (civility) kuhakikisha ustahilimilivu, umoja na amani vinakuwepo nchini bila kujali tofauti ya imani au itikadi. Kuna watu wana hisia zao kisha wanatumia mgongo wa dini kuzitekeleza, tusiwape nafasi.

Of coz Mungu hatoruhusu aliyoyatamka Sheikh Ilunga yatokee maana si mapenzi yake kuweko na umwagaji damu, ila nasi tuna wajibu kufanya sehemu yetu ili maovu hayo yasitokee.
 
Kweli, kwa sababu ahkaam zilizopo kwenye Quran utakuta nyingi ni kwa ajili ya mamlaka kuzitekeleza na si kwa individuals.

Mfano; kishariah anayeua naye huuliwa; lakini hii sio juu ya kila Athumani, Issa au Bakari kutekeleza!
siwezi nikamuona muuaji anaua halafu nikamkamata na kumwambia kuwa wewe ni muuaji sasa ninakukamata na kukukata kichwa chako kutokana na aya hii au ile..hili ni kosa! kwa sababu ni mamlaka ya Kiislamu ndiyo inayotakiwa kufanya hivyo si juu ya kila Muislamu kujichukulia Shariah mikononi.

Vilevile Abu Dawud amekusanya Hadith ambayo Mtume SAW amekataza kuuliwa wanawake watoto huku makatazo ya mauaji ya Viongozi wa dini za Kikristo na Kiyahudi yakiwa ni maarufu!
Hata ibn Hiban anakusanya Hadith ya makatazo ya kuwaua walio katika nyumba za ibada.
Ahlul ilm wanatufahamisha kuwa makatazo haya ni wakati wa vita, sasa je katika wakati wa amani?!

Alichofanya Ustadh Ilunga ni ijtihad yake ya kuangalia mazingira, wahusika, hali yenyewe na kuangalia Quran halafu akatoa Fatwa.
Na Mufti (mtoaji Fatwa) si lazima awe sahihi, anaweza kuwa sahihi na anaweza kuwa amekosea katika Fatwa yake ile.
Hivyo Muislamu halazimishwi kufuata Fatwa anachotizama ni ukaribu wa Fatwa; je iko karibu na usahihi au iko karibu na kosa? ..halafu anachagua mwenyewe

Umeandika vizuri kwa kutulia. Kwenye mijadala kama hii yenye kuteka hisia kirahisi inahitaji watu kufikiri kabla ya kuandika.

Labda nikuulize; Umesema kwa mujibu wa hadithi ya Ahlul Ilm ni kwamba hayo ya kuua watu walioko kwenye nyumba za Ibada ni wakati wa vita..........lakini ukauliza wakati wa amani?.............Labda ungetoa jibu kwa mujibu wa mafundisho Je ni sawa kuwaua maadui wakati wa Amani? Au hili mmeachiwa kuamua wenyewe?

La pili umesema mtoaji Fatwa anaweza kuwa sahihi au sivyo........Je? utajuaje yuko sahihi au hayuko sahihi?
Je? ni mwanazuoni wa kiwango kipi anatakiwa kutoa fatwa? kuna vigezo vyovyote vya mtu ku-qualify kutoa fatwa?
Je? ni nani anayethibitisha kwamba hii fatwa si sahihi? na inarekebishwa vipi?
Na mtu anayetekeleza fatwa kama maelezo ya Ilunga na ikathibitika kwamba fatwa si sahihi, ni nini adhabu ya mtoa na mtekeleza fatwa?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom