Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,925
Huku shem hakuna jipya kwa kweli....
Vipi Kipua hajambo?
Hajambo sn,anakupa hi,anajiandaa kula cha ucku lol!
Huku shem hakuna jipya kwa kweli....
Vipi Kipua hajambo?
Bora mtei kuna mda alikuwepo, hao wengine sijawaona kabisa leo, labda leo wanaingia night shift kuanzia sa 6 usiku lol...Teh ndo hivyo.....
Leo naona kama vijana wamelala mapema eeeeh simuoni rafiki yangu Mtei,Katavi,Smiling Saint na majungu makers wengine kama Kabakabana...
Canty huyo mchangiaji hakujua kua na mm ni mwehu tu ninaetaka kuweka smile kwenye nyuso za watuu...basi kavimba huyo hadi kabadilika rangi kawa wakibuluu!...msameheni bana!
Hehehe! Sidanganyiki ng'o!huyo ulie na imani nae yuko wap hapo??shem nilikuambia unakumbuka siku ile pale samakisamaki,ukiwa na mume handsome ujue mambo ndo kama hayo!
kuwa na imani na mm plz!
Chit chat OYEEEEEE!
Jamaa amepotea direction....hajui hata huyo Bagah anawaenjoy tu halafu yeye ameingia mzimamzima....
hahahaaaaa natamani aje sasa maana sijamkuta myao wa tunduru.....hebu mtafute aje hapa aseme tumsikie tusharudi sasa wazee wa ChitChat....
Chit chat OYEEEEEE!
Bagah tulifunguliwa chitchat ili tusichakachue majukwaa mengine na haiko muda murefu,chitchat=chatter=talking about nothing in particular=kelele.
Chitchat ni sehemu ya kusalimiana,kutaniana etc kwahiyo punguza jazba.
Ooh! Jamani wifi, nimenuna kwa mda! Mwezi wa 6??...
myao umekashfu jukwaa hebu liombe msamaha aisee.....Haya wajanja wa arusha!ndo ujanja wenu huu
shem mm nimewahi kukuchakachua kweli?...CANTA sawa naweza kukubali mana hatuna undugu!..
Dogo acha ubahili hebu fanya mpango hata wa 50,000/- ni rahisi sana kama utaamua kuwa unatuma hata mara moja kwa mwezimmeanza wizi tena jama!..nilipokua Jf Senior Expert Member nilichangia??..LOL
BTW tunachangia nn na kwa nan?
Kuwa premium ndio nini?... Bado sijapata msukumo, nikiupata ntachangia, ila sitachangia kwa vile wewe umesema... Ntafanya hivyo kwa maamuzi yangu sio yako...Sweetlady,Bagah,Salok,Mtei etc mmeona mwenzenu Erick kachangia JF na kuwa premium ?