BAGAH
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 4,523
- 1,060
...reply ya kwanza na ya pili tu,ndo inabeba maana ya post...zilizobaki salamu tupu na porojo...
oooh Ericky nakusalim Amyner
oooh Husny namtafuta husby wangu Jg...
oooh DA anamwambia SL sijui nn!
oooh Kongosho kaja na umbea huko hata haufanani na uzi...
oooh Mtei One naye anatongoza mke wa mtu (Myner)
...watu wanachekaa weeee kwenye nyuzi za watu...
je ipo haja kuwa na jukwaa maalumu la SALAMU tuuu msalimiane hadi na kupeana umbea wenu wote!..?na hao niliotaja hapo juu ni baadhi tu ya watu maarufu wa kuchakachua nyuzi za watu!LMAOOOOOOOO!
oooh Ericky nakusalim Amyner
oooh Husny namtafuta husby wangu Jg...
oooh DA anamwambia SL sijui nn!
oooh Kongosho kaja na umbea huko hata haufanani na uzi...
oooh Mtei One naye anatongoza mke wa mtu (Myner)
...watu wanachekaa weeee kwenye nyuzi za watu...
je ipo haja kuwa na jukwaa maalumu la SALAMU tuuu msalimiane hadi na kupeana umbea wenu wote!..?na hao niliotaja hapo juu ni baadhi tu ya watu maarufu wa kuchakachua nyuzi za watu!LMAOOOOOOOO!