aminiusiamini
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 3,577
- 2,220
Mimi nawaza, akisema yess tu. Lini nitamduu
tena atakaejipendekeza twampa kipigo cha paka mwizi. Tuwapendezeshe wao wale bure kasema nani?
tena nikimlisha anakula vizuri kuliko akila mwnyw
Yote hayo umeyataka mwenyewe St. Paka Mweusi!!!
Na nikipewa talaka tu,ujue nitakuwa mgeni wako,kwa muda wote wa maisha yangu yaliyobaki ya duniani.
Dah,nitashukuru kweli ikiwa hivyo
ngoja nianze kuchangisha kwa ndugu
jamaa na marafiki ili siku ukifika tu niwe
tayari nina mtaji wako wa mama Lishe hapa
jirani wanapofyatulia matofali..
Yote hayo umeyataka mwenyewe St. Paka Mweusi!!!
Na nikipewa talaka tu,ujue nitakuwa mgeni wako,kwa muda wote wa maisha yangu yaliyobaki ya duniani.
Nipo my dada kipenzi!!usitishike sana si unajua tena lazma ujipange maana siku zote tunachukuliwa ni viumbe dhaifu sio kama ****** lakini lol!!!Mdogo wangu upo??
Unatisha na makombora juu!!!
Ila Lazima waipatepate,
Chezeiya!!!
My arabela ntaanza kukupa technics za wudang mountains huko tunajifunza style moja tu,ambayo ni Tai Chi...ntakufundisha 3 kati ya technics 360 ,.utakuwa umekwiva...
Nipo my dada kipenzi!!usitishike sana si unajua tena lazma ujipange maana siku zote tunachukuliwa ni viumbe dhaifu sio kama !*??*! lakini lol!!!
yan endelea hvyohvyo ntakuletea dhawadi!!!tena nikimlisha anakula vizuri kuliko akila mwnyw
yan endelea hvyohvyo ntakuletea dhawadi!!!
yan endelea hvyohvyo ntakuletea dhawadi!!!