zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
- Thread starter
- #41
nimemuona!! hata we kaka angu sku hizi sio mchezo!!! mashaallah wifi anajitahd!!
Acha bhana.
nimemuona!! hata we kaka angu sku hizi sio mchezo!!! mashaallah wifi anajitahd!!
kweli kabisa!!!!!!!!!!!!Acha bhana.
thanks wifi!! we mlishe kaka ashibe!!!!!!
Hivi nimeshawahi kukutongoza..??
Nashanga,Hana pa kwenda,labda Officini.
Me ndo Madame B bhana,
ukiona mwingine jua huyo ni mtoto wa nje.
Arabela shosti,lazima tuwakomeshe wanaoiba mali zetu,
tutawageuza nyau kazi yao itakuwa kulilia samaki kutwa kucha.
tena atakaejipendekeza twampa kipigo cha paka mwizi. Tuwapendezeshe wao wale bure kasema nani?
Ntakukata!
Mh!! Sina kumbukumbu nzuri,
Hv wewe ni yule wa Dar,Dom,TA,AraChuga,RockCTY,Mbya,Irng au wa wapi?
Hebu nikumbushe..!!!
Ninaweza kukukumbuka.
Mh ngoja nifikirie,huo kote ulikosema ni maeneo yangu ya kujidai ,ila usijekuwa Zaituni wa Chumbageni aliyenisingizia mimba....
Mimi naendelea kukusanya ushahidi.
Walatini wanasema qudo proque(nothing goes for nothing)
Naomba ushahidi huu usitumike katika
(a)Kukataa uzao wako,
(b)kuleta mafarakano katika unyumba,
(c)kutoa talaka,
Vinginevyo nitaungana na Madame B kukuburuza
mahakamani kwa kosa la unyanyasaji wa kijinsia..
Mimi naendelea kukusanya ushahidi.
Walatini wanasema qudo proque(nothing goes for nothing)
Hapa wadau naomben ukweli,Ni picha ipi inayojijenga ndani Bongo zetu pindi unapo tongoza au kutongozwa.....
Kwa Mwanamke unapotöngozwa kichwani mwako huwaza nini kikubwa?
Kwa mwanaume unapotongoza huwa umejenga taswira gani mpaka uchukue uamuzi huo mbali na neno Nakupenda.
Tiririkeni.
mara nyingi kama namtongoza mwanamke huwa namchukulia taswira kama yuko uchi vile,nakua nimemvua nguo zote nakua na mawazo ya ngonongono tu.!
Naomba ushahidi huu usitumike katika
(a)Kukataa uzao wako,
(b)kuleta mafarakano katika unyumba,
(c)kutoa talaka,
Vinginevyo nitaungana na Madame B kukuburuza
mahakamani kwa kosa la unyanyasaji wa kijinsia..
Hv hujui kama Mtakatifu Paka Mweusi anakudanganya?
Eti anakupima imani.
Hubby wangu,usimsikilize,
njoo tule bata honey,leo twende ChaNg'Feng Grill tukale nyama.
Amen Madaeme B.... Kama unaumbo kubwa nakua nakukadiria kukushikashika mipajazi kama mwembamba nakua nawaza kukukunjakunja magoti yakutane na uso.Kudadadadadadeki..!!!!
Ushindwe ktk jina la Yesu.