GP
JF-Expert Member
- Feb 5, 2009
- 2,049
- 160
TUTAKE RADHI kabla hatujakutenga kwenye jumuiya! Tangu nimeanza kuutundika mtungi sijawahi kuona performance imeshuka. Ni Viwango juu ya Viwango!
mkuu naongelea TASKA mpwa!!.
kuna vitu vingine navikubali aseee kama KESTO, SAFARI ni balaa, ukiimix na valuu then mix na konyagi, hapo ni libeneke mpaka majogoo.
narudia tena ni kwa TASKA!!