EJM_
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 3,836
- 2,091
Halafu kama nimekumiss vile charmingladyprincess enny, ulikuwa umefichwa wapi wewe?
back to topic. me binafsi napenda mchumba anizidi walau 3 - 5yrs!
Last edited by a moderator:
Halafu kama nimekumiss vile charmingladyprincess enny, ulikuwa umefichwa wapi wewe?
back to topic. me binafsi napenda mchumba anizidi walau 3 - 5yrs!
thanx a lot!! imetulia!!Princess,
Kwa mtazamo wangu mimi huwa kuna mambo mawili makubwa ya kuangalia wakati wa kuingia kwenye mahusiano, la kwanza ni Dhamira yenu wawili kuishi pamoja na la pili ni kama mko tayari kukubaliana kuwa pamoja. Umri kwangu huwa sio kigezo kikubwa cha kuingia kwenye mahusiano.
Lakini, maumbile ya ki biolojia yamekuwa yanawa disadvantage wanawake kwa kuwapeleka kwa kasi zaidi ya ukuaji kuliko wanaume. Kwa mfano umri wangu wa miaka 29 ukiniweka na mwanamke mwenye umri kama wa kwangu kwa mtazamo wa macho utahisi amenizidi zaidi ya miaka 5 na zaidi. Hali hii ndio iliyofanya kukawa na dhana ya kuwa na mahusiano na mwanamke mwenye umri mdogo kidogo na mwanaume ili picha ziende sawa.
Ile nyingine inayosemwa sana na watu kuhusu uwezo wa kufikiri siipi uzito sana kwasababu linapokuja suala la mahusiano haliangalii u proffesa wako wala uwezo wa IQ yako.
Msiri wangu we Kauzu na Huyo mwanamama nae Kauzu.
khaaa shemeji!!!!!!! nimekumic!!!!!!!!
Nashukuru kujua kuwa hata nawe umekubaliana na hilo.
nimekuzidi umri..nini!!!!!!!!??????????
Hivi umenizidi miaka mingapi vile..??
Hakuna penzi tamu kama la mwanamke aliyekuzidi umri, na ndio maana mimi na vitoto vidogo AKU....
mbona wazuri wengi wanaonizidi umri akili yangu inaniambia respect your sis... so ni hilo tu pick ur destiny bana!mkuu kisia kwamba unampenda sana mwanamke lakini amekuzidi kwa miaka yazidi sita lakini lila ukimuona chini ya tumbo panastuka.usingizini hakulaliki yaani kila kitu kwako ni tabu kuhusu huyo mwanadada utabaki unahesabu miaka au utaupatia moyo kitu roho inataka.kumbuka mapenzi kizungumkuti.
Leta ushahidi.
khaaaa pole kwa mihangaiko shemej!!!!!!!Shemeji yangu mi nipo mihangaiko imezidi.....
heeee bas hapo sawa!!nimekuzidi umri..
khaaaa pole kwa mihangaiko shemej!!!!!!!
hahahahh!! mi mzima wajna!!! juc nakumic sana!!!Uko poa princess wajina? Mimi na prefer anizidi kidogo umri 3-5 yrs akizidi sana unamuona kama baba au kaka mkubwa!
tenah wanakuwa kama wote vjana!!!! hahaaaaaaaaaaaaaah!!!! kwel amapenz kizungu mkuti!!!!Mwanaume anaweza mzidi mwanamke umri,hata mara mbili ya umri wa mwanamke...
(m/mke 20...M/ume 40) na penzi linanoga.
mmmhhh!! hongereni!! hii piia imetulia!! akili kumkichwa!!
Kimila, kitamaduni na kidini...katika mahusiano ya kimpanezi mwanaume anatakiwa amzidi mwanamke umri.