Ipi ni shule Nzuri??

mysteryman

JF-Expert Member
Aug 4, 2011
977
176
Nina mdogo wangu wa miaka 9 kwa sasa anasoma st magreth kimara bweni, tatizo haipendi hiyo shule na anataka tumhamishe, so nilikuwa naomba kujua shule nyingine nzuri ambayo ni ya bweni na ina mazingira mazuri kwa watoto kwa hapa dar.......nitashukuru sana nikipata na adrres au contacts za shule.....natanguliza shukrani zangu
 
Nina mdogo wangu wa miaka 9 kwa sasa anasoma st magreth kimara bweni, tatizo haipendi hiyo shule na anataka tumhamishe, so nilikuwa naomba kujua shule nyingine nzuri ambayo ni ya bweni na ina mazingira mazuri kwa watoto kwa hapa dar.......nitashukuru sana nikipata na adrres au contacts za shule.....natanguliza shukrani zangu

Mpeleke tu shule ya msingi Mavurunza au Kimara B huko bweni ni kupoteza mapesa tu
 
anasoma darasa la ngapi kwanza??

Js mie nina shida hiyo hiyo na mwanangu ni msichana anaingia darasa la nne, kama una ushauri tafadhali, hivi sasa anasoma St, Anne Marie Kimara lakini nahitaji kumuhamisha
 
Kabla sijatoa wazo, naomba niulize sababu za kupeleka mtoto chini ya miaka 13 boarding school.

kuwaepusha na malezi ya ma-house girl teh teh.... Halaf hao hao ndo watakaopewa 100% mkopo chuo kabla wengine hamjafikiriwa...lol.
 
Js mie nina shida hiyo hiyo na mwanangu ni msichana anaingia darasa la nne, kama una ushauri tafadhali, hivi sasa anasoma St, Anne Marie Kimara lakini nahitaji kumuhamisha

Jamani KK, kwa nini unamtesa mtoto?kwa nini usimpeleke shule ya kutwa??wewe kwani ulipelekwa boarding school ulivyokuwa katika huo umri?? binafsi nakushauri mpeleke day school ili uwepo katika nafasi yake ya malezi.maana katika hzo shule za kulala wanatoka huko na tabia za ajabu ajabu ambazo wewe kama mzazi ungeweza kumkanya kama ungekuwa unaishi naye nyumbani. hao walimu wa hizo shule hawana muda wa kuwapa malezi mazuri watoto wote lets say a class has like 100 students or a little bit less they dont care as long as mnawalipa pesa yao...sijui lakini maybe am wrong but that's my ushauri na nikipata mtoto (Mungu anijalie) nitahakikisha anaenda shule ya kutwa niwe nae all the time kumfunza tabia nzuri na kumsaidia katika homeworks zake.

Kwa sababu naamini huo umri kuanzia chekechea mpaka darasa la saba ni crucial sana katika malezi ya mtoto (atleast thats how i was raised).

Kuhusu shule hata sifahamu my dear endelea kucheki cheki humu jamvini utapata tu idea nzuri
 
Nyie mnaomba ushauri wa kutaka tuwatajie shule halafu pesa zenu haziwaruhusu kuwapeleka watoto wenu kwenye hizo shule nzuri,anyway mfano tu ni kwanza international ipo mikocheni kuelekea kwa mwalimu nyerere ukiwa unatokea tume ya sayansi na teknolojia.Hiyo ada yake ni US$ 6000 per year,nadhani hii ni miongoni mwa shule nzuri yenye kutoza kiwango kidogo cha ada.Kuna zingine kama east africa,feza international na IST.
 
Na kwa maeneo ya tabata je? Zipo shule nzuri? Dogo yupo darasa la kwanza anaingia la pili....
 
Back
Top Bottom