mwanaharakatimpya
Member
- May 8, 2012
- 11
- 2
Habari zenu wadau?mm ni mwanaharakati mpya na nilisoma elimu yangu ya chuo miaka mitatu ya kozi ya it na badae post ya business administration ambayo ni jeneral!!sasa swali langu ni hivi kati ya masters ya marketing na corporate management zote zinazotolewa na mzumbe compus ya dar es salaam!!naomba kuwasilisha