Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,408
View attachment 45947 Kuna simu nyekundu?? Kwa nini wamemechisha simu zao??.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umeandika Maksudically?View attachment 45947 Kuna simu.......................
Kwasababu ni simu zao.
Alafu acha kutukana kisirisiri.
Ni HALAFU dada sio ALAFU-Ujumbe ni ule ule, TUKOSOANE,TUREKEBISHANE,TUWAJIBISHANE NDIPO TUSAMEHEANE!
Alafu naomba nikushukuru.
mimi naongeza- kutenda kosa si kosa ila unaporudia kufanya kosa ndio huwa kosa kubwa
Alafu naomba unisamee kwa kutenda na kurudia kosa.
waswahili wanasema siku zote mjinga wakati wa kwenda wakati wa kurudi anajua pabaya na pazuri!
Waswahili ndio kina nani nikawaulize mahana ya ulichohandika?
Ndio sisi! halafu tena nikwambie kitu?ni maana sio mahana na pia ni andika sio handika
ndiho nyie kina nani?
aah!unazingua ngoja nikaburudike kwenye thread ya khanga moko kule,nimekuona na wewe kule kumbo umo!
nilikua nachungulia tu nione wakaka wanavyodata!!
nyooo!ulikua unachungulia wakati ndio unalala humo humo?mbona umerudi tena,kule kuzuri dogo!
Uzuri wake?
Hahaha. . mi nimeangalia ile uloweka wewe tu, comment ndo zinanirudisha.kuna video inaonyesha dar mchana ni ndogo lakini usiku inakua kubwa balaa!si unaona hata wewe hubanduki kule,huku ndio unachungulia mara moja fasta unarejea kule kutamu
Hahaha. . mi nimeangalia ile uloweka wewe tu, comment ndo zinanirudisha.
Aisee we unajua yule si ws kweli kabisa yule ni demu wake.