Lini ulikutana naye akakueleza kuwa anautaka Urais?Acha umbeya,na uache uvivu...fanya kazi kwa bidii na wewe utatajirika,ukiedekeza majungu na husuda utaishia kuamini kuwa shida zako zimesababishwa na Lowassa na hakika utakufa maskini!
Taabu ya humu jamvini, ukimtaja tu bwana aliyejiuzuru Lowassa, watu mimacho inawatoka, wanaacha kujadili mada na wanaishia kukuponda kama si kukutukana! Haya bana mi mtazamaji tu!
Akili zipi? Za kuficha pesa za watanzania Uswisi?Waswahili bwana mmezoea makelele na mnapenda majitu yanayoropokaropoka,Lowassa ana akili kuliko wewe!
Kwani ni lazima Lowasa atusemee?
Ni lini mtajitambua kuwa nyinyi ndiyo serikali, yaani mpaka aseme lowasa ndiyo jambo liwe limesemwa!!!! Haishangazi kusikia mnagombana kuchagua rais, hamgombanii kuchaguliwa "Rais" kama sheria inavyoelekeza. Usitushawishi kwa ujinga tafadhali NDEVU SI MZIGO.