Ipi inakuzingua, ya Preta au ya Rose?

:crying::crying::crying: Swetie pie, swetie pie sina changu tenaaa:A S confused::A S confused::A S confused::A S confused:

tulikuwa tunaongea kinyumbani tu,View attachment 19658 kiiraqw kidogo, tena huoni ilikuwa sebuleni kabisa, sijaenda nae chumbani, tena nilimwambia
Maria Roza anakuja sasa hivi, anakujua bana, relaxView attachment 19657siwezi fanyia haya mambo kwenye pics huoni amekaa mbali na mm Afrodenzi
 
avatar20103_17.gif
avatar23521_1.gif


Niambieni, ipi avatar gani inakuacha hoi? Aliyelala chali ni Preta na anayekonyeza ni Rose.

Mimi zote tamu.

ya preta inaharibu mawasiliano ya mwili mzima, ya Rose inaduwaza kama domo zenge inakuwa ishu. I like both of them, zinafaa :hungry:
 
Duh heading imenishtua.......nkafikiri zao mlishaziona........ kumbe avatar!! zote zinavutia
 
Back
Top Bottom