Mie nachofaham kama kuna entry exams kwanza wanachuja kutokana na GPA then tunaenda kwenda entry exams na ndio maana kuna vyuo ukienda na GPA ya kuchechemea hata hawaangaiki na wewe, Bongo na Ulaya.Kwani hakuna Entry Exams!?, Where I went to school wanangalia Both, yaani Your GPA na Entry Exams!, au Qualifying Exams for instance MCAT, PCAT, OAT, DAT! etc.
Nowdays "Where I Live" i dont think kuwa GPA matters that much, they "Interviewers" are looking into Extracurricular Activities and How Well you have Performed your Oral Interview, and If you happen to pass Both including a Decent GPA You'll be good to go!.
Decent GPA: 3.0 - 3.5
GoodLuck! Mtu Wangu,
B.
Wadau, ningependa kufahamu hapa kwetu huwa matokeo ya chuoni wanachoangalia ni GPA au CGPA n kama ni CGPA, je "UPPER 2ND" huanzia ngapi?
Nitashukuru sana mkinifahamisha kwa hilo.
Aksanteni.
Sijui hasa unachotaka kufahamu cause 'matokeo ya chuoni' could mean any point in time.In any case upper second inaanzia (C)GPA ya 3.5.
Nilikuwa nataka kufahama UPPER 2ND inapoanzia mkuu n vile vile ni grade ipi ambayo unaenda moja kwa moja kusoma MASTERS?