Habari zenu GT! Nina mpango wa kuanzisha biashara ili niweze jikwamua na tatizo la ajira, Naomba kujua nnatakiwa kuanza kupata kipi kati ya TIN (Taxpayer Identification Number) na Leseni ya biashara?
Ninavyojua mimi TIN hutolewa bure. Mimi niliipata wakati natafuta Driving Licence au kuna utaratibu mwingine unapotaka kuanzisha biashara? Nilidhani TIN hutolewa uniformlyInaanza TIN kama walivokwambia wengine,
Ila nikujuze, ukienda kuomba TIN ya biashara lazima wakutoze kodi ya makadilio (Provisional Tax) hata kama biashara haijaanza na hujapata leseni. Imenitokea juzi nikawaambia TRA sasa nikinyimwa leseni na kodi nishalipa itakuwaje?
Hawana jibu, ni lazima ulipe kodi kwanza ndo TIN inatoka
tutakusaidia kusajili kampuni, NGO, Trust fund, foundation, Saccos. tunapatikana 0767 102102, 0655 308308. email: cerengeti@gmail.com
Inaanza TIN kama walivokwambia wengine,
Ila nikujuze, ukienda kuomba TIN ya biashara lazima wakutoze kodi ya makadilio (Provisional Tax) hata kama biashara haijaanza na hujapata leseni. Imenitokea juzi nikawaambia TRA sasa nikinyimwa leseni na kodi nishalipa itakuwaje?
Hawana jibu, ni lazima ulipe kodi kwanza ndo TIN inatoka
Inaanza TIN kama walivokwambia wengine,
Ila nikujuze, ukienda kuomba TIN ya biashara lazima wakutoze kodi ya makadilio (Provisional Tax) hata kama biashara haijaanza na hujapata leseni. Imenitokea juzi nikawaambia TRA sasa nikinyimwa leseni na kodi nishalipa itakuwaje?
Hawana jibu, ni lazima ulipe kodi kwanza ndo TIN inatoka
Inaanza TIN kama walivokwambia wengine,
Ila nikujuze, ukienda kuomba TIN ya biashara lazima wakutoze kodi ya makadilio (Provisional Tax) hata kama biashara haijaanza na hujapata leseni. Imenitokea juzi nikawaambia TRA sasa nikinyimwa leseni na kodi nishalipa itakuwaje?
Hawana jibu, ni lazima ulipe kodi kwanza ndo TIN inatoka
nina wasiwasi mkubwa sana na hyo provision tax unayoizungumzia. Provision tax inalipwa kwa instalment 4 kwa mwaka(kila baada ya miezi 3), hii ina maana kuwa unapo-"file provision return of income" au "estimate of income tax payable" "instalment" ya kwanza unatakiwa kulipa ndani ya miezi mi2 tangu ulipoanza biashara hivyo basi hakuna sheria ya kodi ya mapato inayomlazimisha mtu kulipa kodi ndipo apewe "TIN" Kinachotokea hapa ni sheria kizani ya viwanda na biashara ambayo hao halmashauri wanaitumia ili kukupa leseni ya biashara kwamba lazima uwe viambatanisho vya "TRA kuwa umelipa kodi, hvyo kupelekea wao kukuchaji kodi kabla hata hujaanza biashara
kwa kadri ulvyotoa nambna, naamini hata gharama unawedza kuainisha, japo kwa estimate.
SG8,
TIN ya Udereva ndo unatumia kufanyia biashara zingine pia????!!! Mbona mimi nimeambiwa lazima niwe na TIN ingine ili hali ninayo TIN ya Udereva??? Confused.....