The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,884
Hili swali huwa najiuliza kila siku....
Kama unapata mtu anakuvutia sana lakini
kuna risk kubwa ya kuvunjwa moyo....
Mfano labda huyo mtu yupo kwenye ndoa ,au labda
hajavutiwa na wewe kiwango sawa,au sababu yeyote itakayosababisha
mapenzi yasidumu......je ni bora kuanza mapenzi na huyo mtu...ili uonje ujue
utamu wake bila kujali maumivu yake mtakapoachana????????
Au
ni bora kukaa mbali kabisa toka mwanzo usijue ulichokikosa?????????????
Kama unapata mtu anakuvutia sana lakini
kuna risk kubwa ya kuvunjwa moyo....
Mfano labda huyo mtu yupo kwenye ndoa ,au labda
hajavutiwa na wewe kiwango sawa,au sababu yeyote itakayosababisha
mapenzi yasidumu......je ni bora kuanza mapenzi na huyo mtu...ili uonje ujue
utamu wake bila kujali maumivu yake mtakapoachana????????
Au
ni bora kukaa mbali kabisa toka mwanzo usijue ulichokikosa?????????????