rakeyescarl
JF-Expert Member
- Dec 9, 2007
- 481
- 145
Wakuu HNY! Jana nimekutana na mtu anauza iphone ambayo kwangu nikahisi ni ya kichina bei 200,000. Hivi hizi zina shida kwenye kuingia kwenye internet?browsing?,address book,sms, memory au basic functions kama za simu nyingine?za kawaida? Na je durability ni vipi?
Mnisamehe kama nimeileta thread hii hapa,maana wauzaji wako wengi naona wako hapa.
RE.
Mnisamehe kama nimeileta thread hii hapa,maana wauzaji wako wengi naona wako hapa.
RE.