Wana JF Heshima mbele
Naomba kama mwenye kujua nataka ninunue IPHONE 4 ya ukweli kwa Dola 700. Je anayejua? NAHITAJI HARAKA NIMEPATA KAZI MAJUU NATAKA KWENDA NAYO WAKUU
du pr. hiyo picha ulioweka kiboko inatisha na zidhani kama mtu atashawishika kukwambia kitu
Hii ajabu, unaenda bukoba unanunua ndizi dodoma? teh teh
huko hata 139usd unapata at&t!
Majuu unaelekea nchi gani? mimi naishi majuu naweza kukuletea huko maana nakuja mwezi june. Tuwasiliane kwa PM.
Lakini kwa utafiti wa haraka haraka, huwezi kupata iPHONE 4 kwa bei hiyo aslani.