IPE MANENO PICHA YANGU UNAWEZA KUAMINI? WANAWEZA KUNYWA PAMOJA HAWA WANYAMA?NI KWELi?

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,266
33,039
1150300_10151647169995658_1245106847_n.jpg
 
ngoja nimalize kunywa maji na nitoke baruti maana huyu mjomba akianza kumaliza yeye itakuwa bonge la noma.
Nalog off
 
1. Asiye na jema kwakwo mara nyingi huwa anakukebehi..anapenda kuwa kuwa karibu kumbe ana lake jambo


2. Chelewa chelewa utakuta mwana si wako....(upatapo nafasi katika jambo (mahusiano/kazi/biashara) tekeleza as opportunities never comes 2.

3. Ukutanapo na jambo la kutisha tulia huwezi jua kwamba mwenzako (simba) naye ana matatizo/woga wa hali ya juuuuuuuuuuuu
 
HAPA SASA MNAWEZA KUUONA TYPICAL MFANO WA URAFIKI BAINA YA CCM NA WATANZANIA, CCM NDO SIMBA, JAMANi CCM MTUACHE, YATOSHA
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom