Jagarld
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 2,515
- 3,042
yes ...kwa wale tuliodhani JK ni mtu wa mzaa leo kaamua kuwa mkali na hawa jamaa inavyoonyesha!
Inabidi awe makini ajue Pinda hachelewi kuangua kilio hadharani bila ata aibu,chezea mtoto wa mkulima wewe!