Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
View attachment 65978
.......
.......
Jamaa hacheki bali sura yake ndivyo ilivyo huwezi kui'define. akicheka kama analia, akilia kama anacheka, akishangaa ndio anakuwa kama anazomea....utani tu..mbona waziri mkubwa kama anacheka vile!!
KIRANJA MKUU: Nahitaji kiasi kidogo tu.......... kwaajili ya kukamilisha uchaguzi wa kijani
MGIMWA: OK!!!!!! Tuingize kwenye ile akaunti ile ya Uswisi au????