Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Feb 4, 2009 74,739 155,436 Feb 15, 2012 #1 Hii picha imepigwa leo asubuhi, kumbuka jana ilikuwa siku ya uziznzi duniani.
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Feb 4, 2009 74,739 155,436 Feb 15, 2012 Thread starter #2 hiii kali, inaonyesha power of a woman, jamaa kasimamishwa uchi mtaani mchana kweupeeeeeee
Daffi Jr JF-Expert Member Jun 25, 2011 3,825 906 Feb 16, 2012 #3 Mwanamke huyu hana hurumu kabisa!jamaa na mpini wake barabarani mchana kweupe!
Joseph JF-Expert Member Aug 3, 2007 3,518 1,086 Feb 16, 2012 #4 Dunia na mambo yake,ukifumaniwa nguvu zote kwisha!
DASA JF-Expert Member Jan 6, 2011 1,031 301 Feb 16, 2012 #5 Huyo atakuwa kafumaniwa. na jamaa nadhani ndio yupo kwenye harakati za kuomba asemehewe.
mikatabafeki JF-Expert Member Dec 29, 2010 12,772 4,641 Feb 16, 2012 #6 sio mbaya hata beach huwa wanavaa hivo hivo
Donnie Charlie JF-Expert Member Sep 16, 2009 15,103 16,150 Feb 16, 2012 #7 sura kama yule jamaa aliyegoma kupunguza nauli za kigamboni
Zipuwawa JF-Expert Member Nov 28, 2010 3,051 653 Feb 16, 2012 #9 pula said: umelala wapi mume wangu,mbona unaniaibisha Click to expand... nimelala kuleee mke wangu
TIQO JF-Expert Member Jan 8, 2011 13,787 2,078 Feb 16, 2012 #10 Yawezekana jamaa alikuwa anafanya mapenzi porini mwizi akaiba nguo zote akamwachia chupi tu
Lily Flower JF-Expert Member Oct 16, 2009 2,553 1,197 Feb 16, 2012 #12 Duniani kuna mambo, angemstiri kidogo maana aibu ni yao wote sasa.
popiexo JF-Expert Member Oct 26, 2010 742 182 Feb 16, 2012 #13 Bujibuji said: Hii picha imepigwa leo asubuhi, kumbuka jana ilikuwa siku ya uziznzi duniani. View attachment 47435 Click to expand... Sasa hapa nashindwa nimzungumzie yupi, huyu mwenye kachup au huyu aliyenigeuzia mkia!!?
Bujibuji said: Hii picha imepigwa leo asubuhi, kumbuka jana ilikuwa siku ya uziznzi duniani. View attachment 47435 Click to expand... Sasa hapa nashindwa nimzungumzie yupi, huyu mwenye kachup au huyu aliyenigeuzia mkia!!?
Shine JF-Expert Member Feb 5, 2011 11,481 1,364 Feb 18, 2012 #16 Hahahahahahaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!! mambo siyo mambo afu hakuna anaejishtukia