figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
kwa tarifa yenu kama mlitegemea niumbuke kama jairo imekula kwenu,naenda zangu kula bata na hakuna hatua yoyote nitakayochukuliwa, na kama hamuamini subirini sana.
Nanyie waandishi wenye hasira na kwasabab mtakosa ya kuandika.mm ndo gamba sasa, siwezi umbuka kama jairo.
Eeee Habari ndiyo hiyooo nimestaafu baada ya siku mbili mtoto wa mama wa bibi yangu kwa mjomba ananirudisha kwa cheo.
Inaelekea hapa waandishi walichukia sana, kwani kila anayemuangalia Luhanjo amekasirika, wanakumbuka jinsi alivyoitosa serikali na bunge na kumpendelea Jairo, sasa wanauliza je baada ya kustaafu atajibu mashitaka kwa kulidanganya taifa?